Hivi mafao kwa wale vyeti feki bado ayajaanza nakumbuka mama kama alisema tulipwe

Hivi mafao kwa wale vyeti feki bado ayajaanza nakumbuka mama kama alisema tulipwe

ommytk

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
520
Reaction score
1,143
Kwa anayejua vipi kuhusu mafao ya sue vyeti feki maana wengine tulikaribia umri kustaafu tukakumbuna na hili dhoruba.sasa nakumbuka mama kama alisema tupewe mafao yetu mifuko ya jamii mpk sasa mbona kimya kuna mwenye taarifa nini kinaendelea maana tunalazwa hospital tunatoka basi tupo tupo mpk hizo hela tutazikosa au hazipo tena tuendelee na maisha yetu ya kuungaunga
 
Ukimaanisha barua bado mimi najua kauli ya mkuu nchi tayali ni agizo rasmi
Mkuu raisi ni mwanasiasa, anaweza toa tamko la kisiasa hivyo ni lazima akishatamka arasimishe kwa kutoa maagizo rasmi kwa watendaji nje ya jukwaa.....

Achana na mawazo ya hizo pesa zikija sawa ila usizifikirie. Watendaji hawana maagizo rasmi zaidi ya kauli ya jukwaani.
 
Mkuu raisi ni mwanasiasa, anaweza toa tamko la kisiasa hivyo ni lazima akishatamka arasimishe kwa kutoa maagizo rasmi kwa watendaji nje ya jukwaa.....

Achana na mawazo ya hizo pesa zikija sawa ila usizifikirie. Watendaji hawana maagizo rasmi zaidi ya kauli ya jukwaani.
Maneno yako yanachoma kama pasi daah aya ngoja niende clinic ya presha leo ndio tarehe yangu
 
Maneno yako yanachoma kama pasi daah aya ngoja niende clinic ya presha leo ndio tarehe yangu
Wapo ambao walishapuuza hilo tukio na wanacheka wakilikumbuka na hata wakiambiwa warudi kazini leo hawatataka sababu walikubaliana na hali wakapambana na sasa wana kipato cha maana.

Mkuu jitahidi uwe mmoja wao, Inawezekana.
 
Sasa mkuu huon kama wew ndio inabidi ushtakiwe na jamuhuri ....kwa kuiibia serikali miaka yote hiyo ......kuwa na chet feki.......in magufuri voice
 
Kwa anayejua vipi kuhusu mafao ya sue vyeti feki maana wengine tulikaribia umri kustaafu tukakumbuna na hili dhoruba.sasa nakumbuka mama kama alisema tupewe mafao yetu mifuko ya jamii mpk sasa mbona kimya kuna mwenye taarifa nini kinaendelea maana tunalazwa hospital tunatoka basi tupo tupo mpk hizo hela tutazikosa au hazipo tena tuendelee na maisha yetu ya kuungaunga
Mkuu hii issue iliibuka juzi juzi kwenye mitandao na ikatolewa ufafanuzi na serikali kuwa:

Msimamo wa serikali haujabadilika kuhusu hatua ilizowachukulia wafoji vyeti na walioajiriwa kwa kutoa taarifa za uongo.

Isipokuwa ni kwa std VII waliokuwa wameajiriwa mwisho 2004, lakini kwenye zoezi hilo wakatimuliwa kimakosa.

Hao walirejeshwa tangu mwaka 2018 na kulipwa stahiki zao zote.

Kwa hili serikali ilitumia kanuni ama sheria ya kikandamizaji kwa hatua iliyowachukulia hao wafoji vyeti.

Ilitakiwa washitakiwe kabla ya kutimuliwa ili tuone ni nani mwenye haki na nani mwenye makosa halisi, mwajiri au mwajiriwa na sheria inasemaje!

Nadhani hapo makaburi yasingelibaki na nakshi zake, yangelifumuliwa hadi skelton kubakia wazi na kuna wakubwa tu ambao wangelikuwa jela sahizi kwa kadhia hiyo.

Ila kwa kuwa wote waliotimuliwa wanahisi kuwa fimbo iliyowachapia ni sahihi, basi issue iishie hapo na muufyate kabisa mkome kuulizia ulizia.
 
Mkuu raisi ni mwanasiasa, anaweza toa tamko la kisiasa hivyo ni lazima akishatamka arasimishe kwa kutoa maagizo rasmi kwa watendaji nje ya jukwaa.....

Achana na mawazo ya hizo pesa zikija sawa ila usizifikirie. Watendaji hawana maagizo rasmi zaidi ya kauli ya jukwaani.
Umenikumbusha issue very genuine!
Kuna sehemu moja, Shirika la umma.
Alitembelea Bosi kubwa mmoja. Akakuta Wateja kadhaa sehemu ya kazi wamekaa juani wakisubiri Huduma. Bosi kubwa akafoka kwelikweli!! Mbele ya Wateja: "Hey! Manager, yaani wewe huna huruma hata kidogo kwa wateja wetu ambao ndio wanaotuletea mapato? Haya, nataka pajegwe nyumba yao ya mpumziko haraka iwezekanavyo!"
Manager kwa kimbelembele mbio kwa wazabuni na kujenga nyumba chapchap akitumia fedha za fuel & lubricants!
Wakaguzi walipoenda mambo yalikuwa kama hivi:
Wakaguzi: "Daa tunaona kuna jengo zuri sana hapa, ni la nini?"
Manager: (Kwa kujitutumua) "Mapumnziko kwa Wateja wakisubiri Huduma".
Wakaguzi: " Aaaa. Sasa ulipata wapi fedha kwa ajili ya ujenzi huu?"
Manager: "Kwa kuwa Bosi kubwa alisema linahitajika haraka sana libidi tutumie fedha za fuel & lubricants"
Wakaguzi:"Hee!!"(mkagizi mmoja anachukua simu na kuanza kubofyabofya)...Eee! Bosi kubwa, wakaguzi hapa. Eti uliruhusu pesa ya fuel & lubricants itumike kujengea nyumba ya kupumzikia Wateja?"
Bosi kubwa: "Nani, Mimi?
Mkaguzi:" Ndiyo wewe!"
Bosi kubwa: "Nani kasema?"
Mkaguzi:"Manager wako"
Bosi kubwa: "Hana akili huyo,kwani hajui financial regulations? Tafadhali naomba nisisumbuliwe na mambo ya kipuuzi"
 
Umenikumbusha issue very genuine!
Kuna sehemu moja, Shirika la umma.
Alitembelea Bosi kubwa mmoja. Akakuta Wateja kadhaa sehemu ya kazi wamekaa juani wakisubiri Huduma. Bosi kubwa akafoka kwelikweli!! Mbele ya Wateja: "Hey! Manager, yaani wewe huna huruma hata kidogo kwa wateja wetu ambao ndio wanaotuletea mapato? Haya, nataka pajegwe nyumba yao ya mpumziko haraka iwezekanavyo!"
Manager kwa kimbelembele mbio kwa wazabuni na kujenga nyumba chapchap akitumia fedha za fuel & lubricants!
Wakaguzi walipoenda mambo yalikuwa kama hivi:
Wakaguzi: "Daa tunaona kuna jengo zuri sana hapa, ni la nini?"
Manager: (Kwa kujitutumua) "Mapumnziko kwa Wateja wakisubiri Huduma".
Wakaguzi: " Aaaa. Sasa ulipata wapi fedha kwa ajili ya ujenzi huu?"
Manager: "Kwa kuwa Bosi kubwa alisema linahitajika haraka sana libidi tutumie fedha za fuel & lubricants"
Wakaguzi:"Hee!!"(mkagizi mmoja anachukua simu na kuanza kubofyabofya)...Eee! Bosi kubwa, wakaguzi hapa. Eti uliruhusu pesa ya fuel & lubricants itumike kujengea nyumba ya kupumzikia Wateja?"
Bosi kubwa: "Nani, Mimi?
Mkaguzi:" Ndiyo wewe!"
Bosi kubwa: "Nani kasema?"
Mkaguzi:"Manager wako"
Bosi kubwa: "Hana akili huyo,kwani hajui financial regulations? Tafadhali naomba nisisumbuliwe na mambo ya kipuuzi"
Hahaha....
Fuel and Lubricants zimemponza.
 
Kwa anayejua vipi kuhusu mafao ya sue vyeti feki maana wengine tulikaribia umri kustaafu tukakumbuna na hili dhoruba.sasa nakumbuka mama kama alisema tupewe mafao yetu mifuko ya jamii mpk sasa mbona kimya kuna mwenye taarifa nini kinaendelea maana tunalazwa hospital tunatoka basi tupo tupo mpk hizo hela tutazikosa au hazipo tena tuendelee na maisha yetu ya kuungaunga
Mkuu endelea na maisha mengine tu. In fact umesamehewa, ilibidi hata mshahara udaiwe kurudisha/ufilisiwe.
 
Kwa anayejua vipi kuhusu mafao ya sue vyeti feki maana wengine tulikaribia umri kustaafu tukakumbuna na hili dhoruba.sasa nakumbuka mama kama alisema tupewe mafao yetu mifuko ya jamii mpk sasa mbona kimya kuna mwenye taarifa nini kinaendelea maana tunalazwa hospital tunatoka basi tupo tupo mpk hizo hela tutazikosa au hazipo tena tuendelee na maisha yetu ya kuungaunga
Unatakiwa kwenda ofisini kwako na uanze process ya kulipwa. Ni pamoja na kumwona HR wako ujaze fomu ya kustaafu nadhani kwa lazima yeye atakuelekeza, utaambatanisha na barua ya kuachishwa kazi na atazipeleka PSSSF na wewe ni kusubiri tu michuzi. Ikiwa tayari utaona akaunti imetuna tu.
 
Unatakiwa kwenda ofisini kwako na uanze process ya kulipwa. Ni pamoja na kumwona HR wako ujaze fomu ya kustaafu nadhani kwa lazima yeye atakuelekeza, utaambatanisha na barua ya kuachishwa kazi na atazipeleka PSSSF na wewe ni kusubiri tu michuzi. Ikiwa tayari utaona akaunti imetuna tu.
Acha kudanganya wenzio...endeleeni kupambana na shughuli za uzalishaji mkuu ujiletee maendeleo
 
Back
Top Bottom