Hivi mafao kwa wale vyeti feki bado ayajaanza nakumbuka mama kama alisema tulipwe

Hivi mafao kwa wale vyeti feki bado ayajaanza nakumbuka mama kama alisema tulipwe

Kwa anayejua vipi kuhusu mafao ya sue vyeti feki maana wengine tulikaribia umri kustaafu tukakumbuna na hili dhoruba.sasa nakumbuka mama kama alisema tupewe mafao yetu mifuko ya jamii mpk sasa mbona kimya kuna mwenye taarifa nini kinaendelea maana tunalazwa hospital tunatoka basi tupo tupo mpk hizo hela tutazikosa au hazipo tena tuendelee na maisha yetu ya kuungaunga
Hapana hakusema hivyo watalipwa wasiofoji ambao ni std 7

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Kajaribu kuulizia huko kwenye mifuko yalipokuwa yakipelekwa mafao yako huenda kuna chochote, kawaombe wakupe statement halafu ufuatilie barua kwa mwajiri na nyaraka nyingine za kuwasilisha kwa ajili ya kulipwa hayo mafao yako ambayo kimsingi ni michango uliyokuwa ukichangia, kama ulikuwa unakaribia kustaafu ina maana utapata kiinua mgongo na pensheni za kila mwezi.....​
 
Wapo ambao walishapuuza hilo tukio na wanacheka wakilikumbuka na hata wakiambiwa warudi kazini leo hawatataka sababu walikubaliana na hali wakapambana na sasa wana kipato cha maana.

Mkuu jitahidi uwe mmoja wao, Inawezekana.
Ukiwa mzee hauna ujanja tena wa kupambana kama ukiwa kijana.

Uzee unaambatana na magonjwa mbalimbali yasiyoambukiza

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kwa anayejua vipi kuhusu mafao ya sue vyeti feki maana wengine tulikaribia umri kustaafu tukakumbuna na hili dhoruba.sasa nakumbuka mama kama alisema tupewe mafao yetu mifuko ya jamii mpk sasa mbona kimya kuna mwenye taarifa nini kinaendelea maana tunalazwa hospital tunatoka basi tupo tupo mpk hizo hela tutazikosa au hazipo tena tuendelee na maisha yetu ya kuungaunga
Wee subiria tu sijui nani alikuambia cheti feki mnapewa mafao. Wee jipelekepeleke kama hujatupwa lupango. Yaani cheti feki mlitakiwa muwe jela halafu wewe unaulizia mafao.
 
Acha kudanganya wenzio...endeleeni kupambana na shughuli za uzalishaji mkuu ujiletee maendeleo
Siyo uwongo. Kuna mmoja aliachishwa hapa kwetu alinitaarifu kuwa wanalipwa. Alihakikishiwa hivyo na CEO.
 
Kwa anayejua vipi kuhusu mafao ya sue vyeti feki maana wengine tulikaribia umri kustaafu tukakumbuna na hili dhoruba.sasa nakumbuka mama kama alisema tupewe mafao yetu mifuko ya jamii mpk sasa mbona kimya kuna mwenye taarifa nini kinaendelea maana tunalazwa hospital tunatoka basi tupo tupo mpk hizo hela tutazikosa au hazipo tena tuendelee na maisha yetu ya kuungaunga
Mpaka utoke waraka wizarani na kwa katibu mkuu kiongozi kwa niaba ya rais
 
Back
Top Bottom