fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
Hapana hakusema hivyo watalipwa wasiofoji ambao ni std 7Kwa anayejua vipi kuhusu mafao ya sue vyeti feki maana wengine tulikaribia umri kustaafu tukakumbuna na hili dhoruba.sasa nakumbuka mama kama alisema tupewe mafao yetu mifuko ya jamii mpk sasa mbona kimya kuna mwenye taarifa nini kinaendelea maana tunalazwa hospital tunatoka basi tupo tupo mpk hizo hela tutazikosa au hazipo tena tuendelee na maisha yetu ya kuungaunga
Ukiwa mzee hauna ujanja tena wa kupambana kama ukiwa kijana.Wapo ambao walishapuuza hilo tukio na wanacheka wakilikumbuka na hata wakiambiwa warudi kazini leo hawatataka sababu walikubaliana na hali wakapambana na sasa wana kipato cha maana.
Mkuu jitahidi uwe mmoja wao, Inawezekana.
Na pia ukiwa mzee unakuwa na akili ya ziada na uzoefu mkuu.Ukiwa mzee hauna ujanja tena wa kupambana kama ukiwa kijana.
Uzee unaambatana na magonjwa mbalimbali yasiyoambukiza
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Wee subiria tu sijui nani alikuambia cheti feki mnapewa mafao. Wee jipelekepeleke kama hujatupwa lupango. Yaani cheti feki mlitakiwa muwe jela halafu wewe unaulizia mafao.Kwa anayejua vipi kuhusu mafao ya sue vyeti feki maana wengine tulikaribia umri kustaafu tukakumbuna na hili dhoruba.sasa nakumbuka mama kama alisema tupewe mafao yetu mifuko ya jamii mpk sasa mbona kimya kuna mwenye taarifa nini kinaendelea maana tunalazwa hospital tunatoka basi tupo tupo mpk hizo hela tutazikosa au hazipo tena tuendelee na maisha yetu ya kuungaunga
Siyo uwongo. Kuna mmoja aliachishwa hapa kwetu alinitaarifu kuwa wanalipwa. Alihakikishiwa hivyo na CEO.Acha kudanganya wenzio...endeleeni kupambana na shughuli za uzalishaji mkuu ujiletee maendeleo
Mpaka utoke waraka wizarani na kwa katibu mkuu kiongozi kwa niaba ya raisKwa anayejua vipi kuhusu mafao ya sue vyeti feki maana wengine tulikaribia umri kustaafu tukakumbuna na hili dhoruba.sasa nakumbuka mama kama alisema tupewe mafao yetu mifuko ya jamii mpk sasa mbona kimya kuna mwenye taarifa nini kinaendelea maana tunalazwa hospital tunatoka basi tupo tupo mpk hizo hela tutazikosa au hazipo tena tuendelee na maisha yetu ya kuungaunga