Hivi Makao Makuu ya nchi ni Chato au Dodoma? Mzee anatuchanganya

Hivi Makao Makuu ya nchi ni Chato au Dodoma? Mzee anatuchanganya

Kuna kamtaa fulani kanaitwa Kajificheni Road sasa Chato imekuwa sehemu muafaka ya kujificha ili kumkimbia huyu Corona.
Umenikumbusha mbali sana, Dar kuna Kajificheni Close Oysterbay huku Toure Drive karibu na kwa marehemu Jaji Francis Nyalali. Kuna nyumba ya Ubalozi wa China siku hizi nafikiri.

Kimtaa kimekaa kujificha kweli kweli ukienda huko unatokea nyumba za pwani baharini tu kuangalia Salender Bridge.

Ndiyo hivyo, mkuu kakimbilia "Kajificheni" ya huko kwao.
 
Unajichanganya mwenyewe kwa kufutilia mambo yasiyokuhusu,makao makuu yakiwa dodona au chato unapungukiwa nini kama siyo kuwashwa
 
Sielewi ziara za viongozi wakubwa zote Chato.

Naona harakati za kuikuza Dodoma zinadumaa kwa style hii.

Na kwa style hii tunachanganya watendaji hatujui nguvu waeke wapi Dodoma au Chato?

Kuna muda itafika tutawalaumu mawaziri na manaibu wao bure tu.

Naendelea kuuliza je mipango hii ilikuwepo kwenye bajeti iliyopita?

Mi nadhani hili jambo la umimi sio sawa kwasababu kila rahisi angejenga kwao kuna mikoa ingekuwa mapori hadi leo

View attachment 1151860
Fanya kazi wewe acha kutuchanganya
 
Dodoma tena Chamwino.
Imenipasa kutaja wilaya kwa sababu nawewe umetaja wilaya Chato badala ya Geita mkoa
 
Mkuu sijui unakwama wapi?
ushaambiwa hiyo ni ziara binafsi na wala si ya kiserikali.
Pengine labda Mseveni kaamua kuja kumjulia hali mama wa Rais wetu sasa wewe utamzuia?
Rais naye ni mtu so lazima muda mwingine mahitaji ya kijamii yamhusu.
dikteta wa ajabu haiapata kutokea
 
Back
Top Bottom