Umenikumbusha mbali sana, Dar kuna Kajificheni Close Oysterbay huku Toure Drive karibu na kwa marehemu Jaji Francis Nyalali. Kuna nyumba ya Ubalozi wa China siku hizi nafikiri.Kuna kamtaa fulani kanaitwa Kajificheni Road sasa Chato imekuwa sehemu muafaka ya kujificha ili kumkimbia huyu Corona.
Wewe ndiyo unampangia m7 pa kwenda safari zake,mbona una kiheleheleMuseven alikwambia ndege haina mafuta ya kufika Dom?
Fanya kazi wewe acha kutuchanganyaSielewi ziara za viongozi wakubwa zote Chato.
Naona harakati za kuikuza Dodoma zinadumaa kwa style hii.
Na kwa style hii tunachanganya watendaji hatujui nguvu waeke wapi Dodoma au Chato?
Kuna muda itafika tutawalaumu mawaziri na manaibu wao bure tu.
Naendelea kuuliza je mipango hii ilikuwepo kwenye bajeti iliyopita?
Mi nadhani hili jambo la umimi sio sawa kwasababu kila rahisi angejenga kwao kuna mikoa ingekuwa mapori hadi leo
View attachment 1151860
Corona inapaogopa chato?!Mjinga anaogopa corona hapo Dodoma
dikteta wa ajabu haiapata kutokeaMkuu sijui unakwama wapi?
ushaambiwa hiyo ni ziara binafsi na wala si ya kiserikali.
Pengine labda Mseveni kaamua kuja kumjulia hali mama wa Rais wetu sasa wewe utamzuia?
Rais naye ni mtu so lazima muda mwingine mahitaji ya kijamii yamhusu.