Brigate iliongozwa na Mwakibolwa kipindi hiko akiwa Brigedia.Lilikua chini ya majeshi ya UN nchi zikiwa Tanzania,S/Africa(Hawa walikua wanatoa air support) na Malawi.M23 walisepa wakaenda Uganda na wengine Rwanda.Na wiki chache zilizopita hao M23 waliingia Congo wakakinukisha kidogo then wakasepa zao.
Ndio maana PK alikua anatuangalia kwa dharau.Watu wameshindwa kutibu tu Battle confusion wanajeshi wao.wanaishia kuwafukuza una tegemea nini
Hapo kuna siri gani sasa? Kwa hiyo unataka kutuaminisha majeshi mengine yakienda huko huwa hayafanyi vyema? Endeleeni kujazana ujinga kuwa majeshi ya nchi nyingine ni Failure ili hali kwenye ground wako njema zaidi.Kama nitakuwa natowa siri nisamehewe ila kwa taarifa fupi tu huwa wanajeshi wetu watanzania huenda mafunzo mbali mbali ya kimedani katika nchi mbali mbali na huko kote huwa wanafaulu vizuri sana kuliko hao mnaowaogopa.
Askari wetu wanaweza kuhimili mazingira yoyote yale kivita na wako na akili ya kupambana na kukabiliana na mazingira magumu. Hongera JWTZ
sio lazima wewe uamini kwa utaalamu upi ulionaoSiamini kama wako competent.
Da mliokosa nafasi za Jeshi mnakazi SanaSasa hivi vita haipiganwi kwa mtutu. Kuna biological war na psychological. Toka huko kwenye mifumo ya zamani haitakusaidia
Ni kiasi kidogo hawafiki 20 Kwa majeneza yaliyoletwa toka Kongo kuzikwa Tanzania wazi mbele ya Vyombo vya habari na ndugu wakishuhudiaDooooh izi rekodi mnatoaga wapi. Unajua ni wanajeshi wangapi wa JW waliuawa Congo ?
JWTZ najivunia Jeshi langu. Bila kujali mapungufu yao ni Jeshi bora kabisaNilikua nacheck maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika, na moja ya jambo lililonishangaza ni kuwaona the so called commandos wa JWTZ wanapita na mafurushi sijui ya vitu gani migongoni nikajiuliza hawa uwanja wa vita huwa wanaenda wakiwa hivyo walivyopita?
Nikaona ngoja nicheck wenzao huko dunian huwa wanakua namna gani kwenye battle field, nimebahatika kuwaona seal team six, wale jamaa ni habari nyingine bana, kwanza wako simple tu.
Sasa hawa wa kwetu naona wana mavifua makubwa tu ila sioni kama wako competent.
View attachment 2038131
View attachment 2038132
View attachment 2038133
Sijui kwanini watu wameshikilia huu msimamo kuwa Tanzania haikushiriki suala la Msumbiji. Unajua Makubaliano ya SADC hadi kuamua Rwanda ndiye ashiriki? jirani sio Tz tu, kwanini hajaenda South Afrika, kwanini hajaenda Malawi, kwanini hajaenda Zimbabwe? Tatizo unadhani kupeleka vikosi vya nchi, ni kama wewe unavyokodi masai kuja kukulindia nyumbani kwako. Vita ni mikakati. Na ukumbuke vita ya Ugaidi, si sawa na vita dhidi ya Waasi au wapigania Uhuru.You are not serious. Hapo tu majuzi majeshi ya Kagame yalitoka yalikotoka kuja kuchachafya Msumbuji, sisi kimyaaaaaa!
Wote watabaki kuwa wanawake tu......mmoja kuwa kwenye urembo na mwingine kuwa jeshini hakubadili jinsia zao.Wakiwa wa dada haimaanishi kuwa ni walaini. Tofautisha wanawake wanaoshindania urembo na wanawake wanaohudumu kwenye jeshi. Ni makundi mawili tofauti.
Yale yalikuwa ni maonyesho tu ya ukakamavu/ utayari... isitoshe askari maalumu (commando) kubeba mizigo haishangazi huenda amebeba vyakula,dawa,vifaa vya mawasiliano, vifaa vya matibabu ya dharura, vifaa vya kazi mf darubini, silaha za ziada n.kHahahahaha yaani mafurushi sijui wametia nini, kwa kweli napata mashaka na wakufunzi wa hawa vijana wetu.