Kama kulivyo na ulimwengu wa nyama, vivyo hivyo na ulimwengu wa roho ulivyo, roho zinaweza kuwa na utashi wake zenyewe bila kutegemea mwili na bila shaka hata adhabu roho zinaweza zikapeana vilevile
Kwasababu wote tutakuwa ni roho sasa, hata adhabu zitakuwa za kiroho, furaha ya aina ya kiroho, na hata kama kuna moto wa jehanum hautakuw wa namna hii ya kimwili, maana moto wa duniani hauwez kuchoma roho
Note: Wakati wa ndoto za usiku huwa unaweza ukaumizwa kwenye ndoto na ukasikia maumivu kabisa lakin kumbe ni ndoto tu, sasa uchukulie mfano huo kulata picha ya maisha ya kiroho yatavyokuwa
G.Man