Kuna kitu nashindwaga kuelewa kuhusu manabii na mitume wote wazamani
Ukisikiliza ndugu zetu waislam wanasemaga manabii wengi walikuwa waarabu
Mfano ni video fulani ambayo niliona kwenye YouTube Chanel ya kislam inasema manabii wengi walikuwa waarabu
Kutokana na video hiyo ni ivi
Adam ( sir lank )
Nooh: (Jordan )
Idris (iraq)
Hud ( yemen)
Saleh ( lebanon)
Musa ( egypte)
Ibrahim ( iraq)
Rutu ( lebanon )
Ismael ( South Arabic)
Isaka ( Palestine)
Yousuph( palestina)
Yahup ( palestina )
Ayubu ( Syria)
Suleman ( israel )
Ahabu ( syria)
Daudi ( israel )
Elia ( Jordan)
Yona ( iraq)
Zakaria ( israel )
Jesus ( palestina )
Hao ni baadhi tu kulingana na list hiyo inawezekana most of prophets hawakuwa wayahudi bali walikuwa waraabu 😀😃🤪😝