katoto kazuri
JF-Expert Member
- Feb 10, 2018
- 6,124
- 5,745
- Thread starter
- #21
Wee huyu ni mtoto mdogomwambie huyo mdogo wako aache uchoyo asee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee huyu ni mtoto mdogomwambie huyo mdogo wako aache uchoyo asee
Ni student yupo parttime job na shule piaMnaosema aende takukuru acheni kukaruri ,kutongozwa ni sunna,huyo sii student mjue
Kamnyima anamtishia sanaUmechemsha boss huyo sio mwanafunzi ujue,hakuna sheria ya kuzuia kutongozana kazini,hao ni watu wazima aamue kumpa au kumnyima
Weweee acha hizo bhana bado mdogo ni 22 tu etiPCCB wakafanye nini ? Kutongoza ni haki ya kila mtu. Kuna mwanamke anafukuzia hadi miaka miwili.. mwaka wa nne ndio anakubali.. Manager kaamua kukomalia mzigo. Ingekuwa labda binti anaambiwa atoe uch.i ndio apewe kazi hiyo ni tushwa moja kwa moja..
Sasa anaanza vitisho juzi kamchorea dili la kuitwa board room halafu akamfungia kwa njee .Akienda huko anaweza yoyote akamtaka. Sometimes anapaswa kumwambia ukweli kwamba sina haja nawewe then akubaliane na chochote kitakachotokea.
22 mdogo wa wapi ,anamnyima manager anaenda kugongwa na bodaboda aache ujinga mbona anowakubalia hasemiWeweee acha hizo bhana bado mdogo ni 22 tu eti
HapanaMshauri asiende tena kazini, akae nyumbani.
Anamtu tayari ndio maana ila unakapoint some how22 mdogo wa wapi ,anamnyima manager anaenda kugongwa na bodaboda aache ujinga mbona anowakubalia hasemi
Weweee acha hizo bhana bado mdogo ni 22 tu eti
Amechumbiwa sasa anamtu wake na anawivu ndio maana na kupendwa ofisini nikawaida ila mtu anapete tayari .Yaani kumbe ni mmama mzima wa miaka 22 ndio unasema ni mtoto? Kijijini huyo ilibidi awe alishaolewa na anawatoto watatu saiz. Na kwa umri huo kama bado akitongozwa anakuja kusema nyumbani basi kuna shida mahala. Ndio maana nimeshauri aache kazi akae nyumbani. Akishakomaa kiakili na kujua kwamba kwa mwanamke kutakwa kimapenzi ni kawaida na njia zipi zinafaa kuhandle issue ndogondogo kama hizo ndio aanze kutafuta kazi.
22 yrs ni mdogo?Weweee acha hizo bhana bado mdogo ni 22 tu eti
TAKUKURU ipo awasiliane nao ili asigawe papuchi na wala asipoteze kibarua chake vinginevyo ajiandae kutoa nyama lainiMdogo wangu yupo kwenye kampuni halafu ameshaniletea matatizo Manager wake anamtaka taka na yeye hana muda naye. I mean hawaendani amemsumbua kuanzia mwezi wa kwanza hadi huu wasita na mpaka now amempa matatizo kabisa.
Sasa leo kaja home kasema haendi tena shughulini kisa huyo Manager, sasa mimi nifanyaje? Na kazi kupata ni shughuli
Ndio22 yrs ni mdogo?
Kwa hiyoooHuu ni mwezi wa tisa lakini...
Si wa chuo huyo ama secondary!?Ni student yupo parttime job na shule pia