Hivi Managers wa kiume mkoje?

Hivi Managers wa kiume mkoje?

Sina uhakika lkn nahisi hii thread haijakamilika. Nna swali kwa huyo mdogo wako, umesema huu ni mwezi 6 sasa Manager anamtaka je huyo Manager anamtolea vitisho akiwa kazini? Pia kabla hajapata kazi je aliombwa rushwa ya ngono na huyo Manager? Je Manager anaweza kua na mahusiano na wafanyakazi walio chini yake? Hapo ni kwa ridhaa zao au wanafanya mahusiano kwa makubaliano ya upendeleo kazini. Nijibu hayo' Nachoshauri kwasasa hatakiwi kuacha kazi ila afanye uchunguzi na kuomba ushauri kwa watu anao waamini kwa mawazo yao kwa maana Takukuru lazima kuwe na ushahidi wa mtendwaji kulazimishwa kitendo icho.
1. Ndugu yetu ndio kamtafutia
2.Ndio anatabia yakuwapenda wadada weupe wenye chura mdogo wangu analo lakushiba tu na nimzuri anaasili fulani hivi mnazijua .
3.amejaribu kuongea na baadhi ya watu wakamwambia nilazima atoe au ataondoka hapo.
4.Ila mimi nitampa tu makavu siku sio nyingi.
 
Mkomeshe. Mnyime na umpevmmiliki...halafu mwambie meneja anakutaka...[emoji38][emoji28][emoji1787]
Ngoja nikuambie kitu mie nitampa makavu tu tegesho la hatari nje muda sio mrefu mie ndio takukuru when you want to be ahead of a lady a lady she will show you that she is clever .
Alitukuta mjini na tutamalizana kimjini.
 
Kwenye nyanja ya ajira anachokifanya manager huyo ni udhalilishaji na ubaguzi mkubwa. Inatakiwa sheria iwekwe ya kuwafunga watu hawa hata miaka 20. Mtu ukisha kuwa bosi ukitoka kimapenzi na huyo mtu tayari unakua upo moral wrong maana mkiaachana tu lazima utampendelea na hata msipoachana akiharibu utamtetea. Professionalism pamoja na moral ethics zinakataa jambo hili. NI UDHALILISHAJI WA KINGONO KAMA KUBAKA. HAKUNA CONSENT HAPO MAANA ANAOGOPA.
Ila nitamtokelezea
 
Fanyeni set up tu takukuru waruke nae.

Ila uwe unaomba dua kwa imani yako maana huyo takokuru 'asiwahiwe' na Meneja ukakuta manyoya ukabaki kusema "hapo chacha".
 
Mi muda pekee naitwa meneja ni ninapocheza Master League kwenye PES au Career mode kwenye FiFa je na mimi nahusika humu?
Mkuu umefanya siku yangu iishe vyema hahahaha nimekumbuka jinsi tunavyosajili na jina kabisa hahahaha ngoja nitafute muda nirudi kwenye FIFA
 
Wewe mwenye mdogo mleta uzi wewe ni mtu mzima unamsifia mdogo ana chura la nguvu! Mshauru tu ampe japo aonje, unaweza kuta hata ladha halina kabebana nalo anadhani deal.

Au wewe kampe manager umkate kiu, kwa niaba ya huyo mwenye chura la haja.

Hayo mavyura mgekuwa mnaweza kuya invest mkawa mbalipwa liba sawa, lakini unakuta mmebebana nayo halafu hayawasaidii chochote.

Angempa manager labda hata angepewa kazi rahisi inayoendana na shule yake.

Unamnyima manager halafu bosaboda anapewa, tumua likufaidishe.

Takukuru ukimpa deal atamtisha manager halafu naye ataizungukia anakula mzigo.
Hiyo ndiyo kazi yake.
 
Back
Top Bottom