permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 11,682
- 14,241
Kwa sheria za Tanzania na duniani huyo siyo mtoto,Weweee acha hizo bhana bado mdogo ni 22 tu eti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa sheria za Tanzania na duniani huyo siyo mtoto,Weweee acha hizo bhana bado mdogo ni 22 tu eti
Anamtu tayari ndio maana ila unakapoint some how
akamshitaki takukuru tuMdogo wangu yupo kwenye kampuni halafu ameshaniletea matatizo Manager wake anamtaka taka na yeye hana muda naye. I mean hawaendani; amemsumbua kuanzia mwezi wa kwanza hadi huu wasita na mpaka now amempa matatizo kabisa.
Sasa leo kaja home kasema haendi tena shughulini kisa huyo Manager, sasa mimi nifanyaje, na kazi kupata ni shughuli?
Huyu mdogo wako kuna siku atamkumbuka huyo meneja wake.Kutakwa sio kusumbuliwa ni sehemu ya social behaviour.Kama anatakwa ni jinsi ya yeyey kuonesha ukomavu lakini pembeni ya hapo basi amripoti kwa kumfanyia harasment.Yupo Kampuni gani?(PM)Mdogo wangu yupo kwenye kampuni halafu ameshaniletea matatizo Manager wake anamtaka taka na yeye hana muda naye. I mean hawaendani; amemsumbua kuanzia mwezi wa kwanza hadi huu wasita na mpaka now amempa matatizo kabisa.
Sasa leo kaja home kasema haendi tena shughulini kisa huyo Manager, sasa mimi nifanyaje, na kazi kupata ni shughuli?
Mkienda takukuru mkawaeleza mkasa mzima wanaweza kuweka mtego na kumpata hiyo Manager na tuhuma za rushwa ya ngonoMdogo wangu yupo kwenye kampuni halafu ameshaniletea matatizo Manager wake anamtaka taka na yeye hana muda naye. I mean hawaendani; amemsumbua kuanzia mwezi wa kwanza hadi huu wasita na mpaka now amempa matatizo kabisa.
Sasa leo kaja home kasema haendi tena shughulini kisa huyo Manager, sasa mimi nifanyaje, na kazi kupata ni shughuli?
Duh Hongera menejaMi muda pekee naitwa meneja ni ninapocheza Master League kwenye PES au Career mode kwenye FiFa je na mimi nahusika humu?
Kwa hiyo wanamfanyisha kazi mtoto mdogo?Wee huyu ni mtoto mdogo
Duh huko kwenu 22 bado mdogo?Weweee acha hizo bhana bado mdogo ni 22 tu eti
Sasa wwe ndiyo chukua no ya maneger ufanye Mambo kiutu uzima unazoza nae tu mtaaelewana!!Kwa hiyo wanamfanyisha kazi mtoto mdogo?
ANATONGOZWA MKE WA NDOA TAKATIFU ANAGONGWA NA KUZALISHWA NA MTOTO ANALELEWA KWENYE BABA MWENYE MKE SEMBUSE MCHUMBA!AACHE UJINGA AMPE MENEJAAmechumbiwa sasa anamtu wake na anawivu ndio maana na kupendwa ofisini nikawaida ila mtu anapete tayari .
Mke wa mtu mtarajiwa tumeshakula posa ya watu hivi hii ni sawa kumtongoza mchumba wa mtu?
22 ?.nikajua 14 manager endelea na utaratibu wako,mana huku usumbufu wanaanza 13 tuWeweee acha hizo bhana bado mdogo ni 22 tu eti
mchumba wake ndiye apambane nayeAmechumbiwa sasa anamtu wake na anawivu ndio maana na kupendwa ofisini nikawaida ila mtu anapete tayari .
Mke wa mtu mtarajiwa tumeshakula posa ya watu hivi hii ni sawa kumtongoza mchumba wa mtu?