Hivi Mange Kimambi ana elimu gani?

Achana na vyeti, uliza alipata div. gani form 4?? Naamini huko ndo unaweza kumjua kilaza, vyuoni hakuna kitu, tena km kasoma MBA ndo kabisaaaaa@
Acha zarau usijione una akili sana...hata kama kapata division four form four inakuhusu nini...kuna waliozingua form four ila mda huu wanashikilia sekta nyeti sana nchini...kwa hiyo usione kila aliyezingua form four ni kilaza
 
Mbona iko wazi? Kuwa mkweli


Swissme
 
Roho mbaya hiyo mkuu
 
Mange amesoma..[emoji119][emoji119][emoji119]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…