Hivi Mange Kimambi ana elimu gani?

Hivi Mange Kimambi ana elimu gani?

mange hajawai kudailiwa udsm..

ila amesoma chuo kilicho maeneo ya udsm...

maana hakuna classmate hata mmoja anayesema mange amesoma nae degree gani hapo udsm..

na hata room mates wake wa mabibo hawana maelezo yaliyonyoooka...

mliosoma nae mange chuo njooni mtoe ushahidi
 
Wanajamvi napenda kujua elimu ya Mange Kimambi, mtu yeyote mwenye kufahamu Mange Kimambi ana elimu gani na amesomea fani gani kutoka chuo kipi naomba anisaidie hapa!
Tafuta saizi yako wa kupambana naye, tutaletewa uchi wako hapa siyo muda..!

Kiufupi Mange kimambi siyo kilaza km akina bashintee..! Yule ni Sharp brain achilia mbali hulka yake ya kutoa mitusi ni mdada smartest in the country. Hoja zake huwa hazina contradiction yeyote vichwa kamasi na cheap politician ndiyo wanaweza kumpuuza huyu mdada but binafsi namkubali na mmbichwa wangu mkubwa..! Don't compare na Mange labda unaweza kumzidi kiroho ila siyo general understanding aisei.
 
Mange ni akili kubwa watu wanamgwaya huw anaongea facts anatema checheeeee
 
Yule akitulia ana uwezo wa kuwa mshauri kwenye masuala ya intellejensia kw sbb ya upeo wake. Na pia kwenye nyanja za kibiashara kutokana na fani yake aliyopatia masters
 
Yani watu waliosoma udsm wana maringo ya kijingaa sasa Mange awe amesoma.udsm hajasoma anakuzidi elimu na exposure ww uliesoma hapo. Mnaboa sana
 
Hujaweka chanzo wala ushahidi.

Umesema tu.

Saying it so doesn't make it so!
It seems you want to prove him wrong but still beating around the bush! You can just be open and tell the public what you have in your mind about her!
 
Nachofaham ana master's aliyoipata abroad hko ila first degree aliipatia udsm
 
It seems you want to prove him wrong but still beating around the bush! You can just be open and tell the public what you have in your mind about her!

I'm not beating around anything.

All I want is proof that she graduated from UDSM.

That's as gun-barrel straight as it gets.
 
I'm not beating around anything.

All I want is proof that she graduated from UDSM.

That's as gun-barrel straight as it gets.
Ndio maana unaitwa nyani, dada yangu amegraduate na mange udsm kilaza wewe
 
I'm not beating around anything.

All I want is proof that she graduated from UDSM.

That's as gun-barrel straight as it gets.
And you expect someone to put his or her certificate on this media just 4 u as if you're you're giving him or her a job! Are you an advocate who wants to certify her! Just chill and eat popcorn
 
And you expect someone to put his or her certificate on this media just 4 u as if you're you're giving him or her a job! Are you an advocate who wants to certify her! Just chill and eat popcorn
Lame.

Bottom line is she neither went there nor graduated from there.
 
Back
Top Bottom