Daah haha. Kwakweli hapo kwenye kuto bebishana ..hata mimi ningekuwa nae nisingependa kuliona hilo ...kwa sababu mapenzi ya watu wa humu huwa yanaanzia kwenye majukwaa
acha hizo wee mzee .. mimi mtu safi kabisa ..nafaa kuwa mfano bora wakuigwa katika jamiiNo comment
Broo nitake radhi.Hahaa nilikuwa sijui kama una nishani ya uzamivu ya uongo
Lol utaua Mtu !?Kubebishana tena hayo ni madharau laifu laifu.... Smart911 usije thubutu hili
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mzee baba kila la kheriacha hizo wee mzee .. mimi mtu safi kabisa ..nafaa kuwa mfano bora wakuigwa katika jamii
Lol utaua Mtu !?
nisamehe brother ..usije kunifukuza kazi bure ...nitaishi vipi mjini hapaBroo nitake radhi.
Mkuu mchana mwemaaa🤣🤣🤣nisamehe brother ..usije kunifukuza kazi bure ...nitaishi vipi mjini hapa
Hahaa na wewe pia ChiefMkuu mchana mwemaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kubebishana tena hayo ni madharau laifu laifu.... Smart911 usije thubutu hili
Sent using Jamii Forums mobile app
Niko hapa natega sikioHapa ni kwa wenye wapenzi hapa kama upo single tega sikio. Mfano babe yako kamwita babe member mwingine!! Unaskia wivu?
Je akimwita babe member mwingine kwa Id usioijua utajuaje ndiyo yeye ili uskie wivu?
Nauliza tu maana huwa ni kawaida kuitana mke/mme/honey/ na zaidi ya member mmoja.
Ndo unazidi sasa kama ni utani utani aaaaaaaaaaaaaaaaaaa wamchunguze tu ila kama namaanisha siku 1tu nakondaaa kwa mawazo
Cc Smart911
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio suala la vipaumbele, ni kama unapoenda kanisani au kazini ukafanikiwa kupata mwenzi huko....tuseme ndio kilikuwa kipaumbele chako? Ni kwamba ulikuwa kwenye maisha yako ya kila siku ukajikuta umeokota dodoKwa wengine kwao ..fursa ni kuwa nikupata wapenzi pia .... watu tuna tofautiana vipaumbele
Sent using Jamii Forums mobile app
Kawaida, mtu kuitwa babe kwenye comments usijione ndio tayari umeshamilikiInawezekana pia ukawa mshika pembe,unaitwa babe hapa kumbe kuna watu wanajilia vyao huko pm
Kweli kabisa Mkuu!Kawaida, mtu kuitwa babe kwenye comments usijione ndio tayari umeshamiliki
Sent using Jamii Forums mobile app