Wapo wanaomaanisha ila asilimia kubwa watu wanaoitana babe kwenye comments huwa ni matani tuKweli kabisa Mkuu!
Na mara nyingi huwa katika hali ya utani tu,japo wapo nadhani ambao huwa wanamaanisha!
Utani utani,nadhani mwisho wa siku wanahamia pm kwa ambao itawapendeza!Wapo wanaomaanisha ila asilimia kubwa watu wanaoitana babe kwenye comments huwa ni matani tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Utani utani,nadhani mwisho wa siku wanahamia pm kwa ambao itawapendeza!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kama nakuonaKiukweli kabisaaa
Mimi huwa naonaga wivu
Kama mna mapenzi ya dhati lazima utaona wivu, maana inaanziaga babe ya hapa baadae ya Pm na mwisho ya fundi seremala kwa hiyo lazima karoho kaume
Mambo ya vitunguu swaumu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na haya ndiyo mambo wanayohaingaika/kujishughulisha nayo watanzania wakawaida.
Khaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kama nakuona
Akilaikiwa na kukotiwa sina tatizo. . tatizo ni kubebisha akii
No commentWivu lazima uwepo jamaniii mwenyewe namuoneaga babe wangu wivu sababu nampenda
Sihitaji swali wala maswali
Hahaha hahaha
Shangaa na wewe aki, superstar mie wangu sitaki abebishane kabisaaa!!!
Hebu kalaleee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nacheka mm jamaniii
Hahaha hahaha
Eti ubinasfiiii...
Babe wangu anajijua akii.... Uzuri hajuagi kubebishana
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]Wivu lazima uwepo jamaniii mwenyewe namuoneaga babe wangu wivu sababu nampenda
Sihitaji swali wala maswali
Hebu kalaleee
Hivi unaviziaga nilale ndo unakuja huku eeehhh
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app
No comment