Hivi mapolisi siku ya mtihani uwaga wanalinda nini?

Hivi mapolisi siku ya mtihani uwaga wanalinda nini?

Mtihan huwa unatumia gharama kuwa tang kuandaliwa kwake mpka kufanyika kwake. Hivyo inapotokea watu au kikundi cha watu ikatokea jambo la kuharibu zoez hili bas serikali itapata hasara kubwaa sana. Maana tena itabid uandaliwe mtihan mwingne na maana mitihan huhusisha polis na watu wa usalama wa taifa ili tuu zoez hili lifanyike kwa ufanisi mkubwaa.
 
Mtihan huwa unatumia gharama kuwa tang kuandaliwa kwake mpka kufanyika kwake. Hivyo inapotokea watu au kikundi cha watu ikatokea jambo la kuharibu zoez hili bas serikali itapata hasara kubwaa sana. Maana tena itabid uandaliwe mtihan mwingne na maana mitihan huhusisha polis na watu wa usalama wa taifa ili tuu zoez hili lifanyike kwa ufanisi mkubwaa.
Mtu alitoka Darasa la kwanza mpaka darasa la saba anakuwa wa kwanza afu mwisho atafeli 😁😁 na anayepataga zero ashinde
 
Nadhani huwa wanakuja kuhakikisha usalama wa wanafunzi, wasimamizi wa mitihani na kusimamia ufuataji wa sheria na za nchi na kanuni zinazoendana na ufanyaji mithiani.

Kumbuka, zamani mitihani iikuwa inaamua destiny za watu. So possibility ya rushwa ilikuwa kubwa. Pia wasimamizi wangeweza hata kuchezewa au kutishwa ili waachie loopholes watu wacheat.

Pia, shule shindani zinaweza kufanya hujuma kudistract wanafunzi wanaofanya paper. So polisi wanasaidia kupunguza kero kama hizo.
 
Uwepo wa polisi hauna maana yoyote,ni njia ya kugawan Kodi za wadanganyika tu.unakuta polisi huyo huyo miaka kumi anapangiwa shule moja hiyo hiyo,wanamzoea ,wanamhonga anakuwa facilitator wa udanganyifu.Halafu kwenye vyumba vya mtihani hawaingii hadi waitwe na msimamizi.Ikiwa msimamizi ni mwizi wa mtihani polisi atasaidia nini?Kuna shule Kibaha mitihani huibwa ilihali polisi wapo.
 
Uwepo wa polisi hauna maana yoyote,ni njia ya kugawan Kodi za wadanganyika tu.unakuta polisi huyo huyo miaka kumi anapangiwa shule moja hiyo hiyo,wanamzoea ,wanamhonga anakuwa facilitator wa udanganyifu.Halafu kwenye vyumba vya mtihani hawaingii hadi waitwe na msimamizi.Ikiwa msimamizi ni mwizi wa mtihani polisi atasaidia nini?Kuna shule Kibaha mitihani huibwa ilihali polisi wapo.
Uhakika afu wizi upo hata kama polisi yupo sema serikali iko na pesa za kuchezea
 
Huwa wanalinda isitokee vurugu katika eneo ambalo wanafunzi wanafanya mtihani. Ila ndani ya chumba cha mtihani hawajui nini kinafanyika huko zaidi ya kujua wanafunzi wanaandika. Kama kuna udanganyifu unafanyika huko polisi hajui. Acha mapolisi wale posho maana fungu la mitihani lipo
 
Walimu wenyewe wanalalamika baraza linaita walimu WALEWALE marking na walimu wasioitwa wanaumia sana na wale wanaoitwa wanajimwambafai mashuleni kwamba mimi ni marker wa muda mrefu baraza linanijua msonde ananijua salum ananijua huko mashuleni walimu wasioenda marking wanadharauliwa na wanajiuliza mbona sisi kila mwaka hatuitwi? Vigezo vya kuitwa marking ni vipi?
 
Back
Top Bottom