The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
- Thread starter
- #21
Hao uliowataja sii watetezi wa Tanganyika hao wote wamekuwa watetezi wazuri sana wa Zanzibar namkumbuka sana mbunge wa zamani wa Nkasi nadhani ni ndugu Ally KesiKwa sasa maslahi ya Tanganyika yanatetewa na Mpina, Lissu na Dr Slaa. Yanahujumiwa na Nape, Machawa na hii CCM na SSH.