The Phylosopher
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 1,968
- 2,957
- Thread starter
-
- #21
Hao uliowataja sii watetezi wa Tanganyika hao wote wamekuwa watetezi wazuri sana wa Zanzibar namkumbuka sana mbunge wa zamani wa Nkasi nadhani ni ndugu Ally KesiKwa sasa maslahi ya Tanganyika yanatetewa na Mpina, Lissu na Dr Slaa. Yanahujumiwa na Nape, Machawa na hii CCM na SSH.
Bado najaribu kutafuta angle nzuri ili nikuelewe. Labda ufafanue zaidi maana naona wazanzibari kanchi kadogo hakazidi hata watu million lakini kametoa rais wa nchi yenye watu milioni zaidi ya hamsini mara mbili, sasa hata kama ni mume mjeda sio mume bwege kweli!?Kwani nimesema uongo ndugu yangu?
Kwa wakati ule na mazingira Yale ilikuwa ni sahihi Ila kwa Sasa Tanganyika inabidi isimame Kama nchi huru.The ...
Kuna anaeyafahamu maslahi ya Tanganyika kusaidia mapinduzi 1964 na kuungana na Zanzibar anieleweshe?
Unajua mke anaweza kuonekana ana mamlaka na sauti ila ni katika mambo ambayo mume ameruhusu. Mfano, akiwa anatandika kitanda anaweza kutoa maelekezo kwa mume akakae sebuleni na mume akatii.Bado najaribu kutafuta angle nzuri ili nikuelewe. Labda ufafanue zaidi maana naona wazanzibari kanchi kadogo hakazidi hata watu million lakini kametoa rais wa nchi yenye watu milioni zaidi ya hamsini mara mbili, sasa hata kama ni mume mjeda sio mume bwege kweli!?
Siku hizi kuna vyama pia vya kutetea haki za wanaume Tanganyika tungeenda huko basi.
The ...
Kuna anaeyafahamu maslahi ya Tanganyika kusaidia mapinduzi 1964 na kuungana na Zanzibar anieleweshe?
Kwa wakati ule na mazingira Yale ilikuwa ni sahihi Ila kwa Sasa Tanganyika inabidi isimame Kama nchi huru.
Wanaosema Zanzibar inapunjwa wachunguzwe akili Zao kidogo, maana kuna vitu vya dhairi Zanzibar wananufaika kuliko Tanganyika, Kwamfano Mzanzibar anaweza kuwa rais wa jamuhuri Ila mtanganyia Kwa Zanzibar haiwezekani, pia tumewaona wazanzibar wengi Tu huku Bara wanamiliki ardhi tena na maeneo makubwa Tu Ila Kwa mtanganyika Kwa Zanzibar haiwezekani .
Ila we jamaa una vituko sana na huu mfano wako!!Unajua mke anaweza kuonekana ana mamlaka na sauti ila ni katika mambo ambayo mume ameruhusu. Mfano, akiwa anatandika kitanda anaweza kutoa maelekezo kwa mume akakae sebuleni na mume akatii.
Kule kwa ndugu zetu, ukileta ujuaji kujaribu kuigusa hii ndoa nini kinatokea? Unatulizwa kwa mamlaka ya jeshi lipi? Tanganyika ipo salama, wala haiburuzwi. Hata mashemeji zetu majirani wanaelewa kuwa Tanganyika ni mwanaume wa aina gani.
hakuna siku nitafurahi kama muungano ukivunjika.Nimekua nikifuatilia mijadala mingi sana ya viongozi wetu, na kugundua kwamba tofauti na watanganyika, wenzetu wazanzibari wote kwa pamoja
wako macho sana kuhusu maslahi yao ndani ya muungano.
Kibaya zaidi ni kwamba kwa huku bara hata wale wa mrengo wa upinzani wanasisitiza tu kwamba eti Zanzibar inanyonywa na Tanganyika kwenye huu muungano.
Hofu yangu ni kwamba huku kulialia kwa wazanzibari kwamba wanapunjwa kwenye muungano kutatufanya watanganyika tunyonywe sana kwa kujifanya tunajibu hoja.
Nani atavunja sasa wakati kila wazanzibari wakilalamika wabongo wanatanua magolihakuna siku nitafurahi kama muungano ukivunjika.
kuna siku kiongozi wa watanganyika atatawala, its just a matter of time, ndipo hawa ndugu watarudi kwao kwa mguu.Nani atavunja sasa wakati kila wazanzibari wakilalamika wabongo wanatanua magoli
Wewe inaonyesha hata hujui kama kuna mamlaka mbiliWanaosema Zanzibar inapunjwa wachunguzwe akili Zao kidogo, maana kuna vitu vya dhairi Zanzibar wananufaika kuliko Tanganyika, Kwamfano Mzanzibar anaweza kuwa rais wa jamuhuri Ila mtanganyia Kwa Zanzibar haiwezekani, pia tumewaona wazanzibar wengi Tu huku Bara wanamiliki ardhi tena na maeneo makubwa Tu Ila Kwa mtanganyika Kwa Zanzibar haiwezekani .
Sio kweli,nenda kasome nyaraka za shirika la ujasusi la marekani,tafuta pia madokezo ya balozi wa marekani nchini kenya jasusi Frank kaurus,Tanzania hatuna tishio lolote kutoka zanzibar hata kama itajitenga,ila Tanganyika iko pale kulinda mapinduzi ya asp ya mwaka 1964,ueleweke kuwa waliokuwa wanatawala hivyo visiwa ni watu wa pemba wenye asili ya Omani.hata sultan jamshid aliyepinduliwa alikuwa ni mtu wa pemba. Unguja ni watu wa asili ya bara,na ndio waliongoza hayo mapinduzi,makuli na wapagazi kutoka bara wskiongozwa na tito okello kutoka Uganda. Ndio maana kulikuwa na maelekezo yasiyo rasmi ya mtu kutoka pemba asiruhuswe kutawala zanzibar.hivyo,aliyekuwa mtawala wa visiwa vya zanzibar ambaye ni mpemba leo ndio mtawaliwa na watu kutoka unguja,wa bara. Ushahidi ni kwenye suala la muungano,wa pemba hawautaki muungano,lkn unguja wana utaka muungano.siku muungano ukivunjika,unguja na pemba kutawaka moto.Kiongozi, kwanza naona unataka kuchepusha mada, hii sio sawa.
Pili, hakuna rekodi rasmi zinazoonesha kwama serikali ya Tanganyika ilihusika kwenye mapinduzi ya 1964. Mapinduzi yale yaliratibiwa na kutekelezwa na wanachama wa ASP.
Tatu, maslahi ya Tanganyika kufanya muungano na Zanzibar yalikuwa ya kufikirika zaidi kuliko uhalisia...na hapa maslahi yenyewe (ya kufikirika) yalikua juu ya usalama wa Tanganyika, kuendeleza dhana ya umajumui wa Afrika n.k
Hao uliowataja sii watetezi wa Tanganyika hao wote wamekuwa watetezi wazuri sana wa Zanzibar namkumbuka sana mbunge wa zamani wa Nkasi nadhani ni ndugu Ally Kesi