Cryptographer
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 376
- 737
Heri yako yanakuja ukiwa na pesa unasolve, usiombee yaje halaf hauna pesa wenzako mpaka wanatokosa watotoWakati huna pesa yametulia tuli,pata pesa Sasa utasikia Bibi kameza chemli huko kijijiniš„
Hii sayari yetu yatatu hii imekaa kimichongo Sanaš¬