Aisee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nami nauliza,Jiwe au Makonda wangekua wasanii wangekua hiphop au wabana pua?
Aman iwe nanyi wakuu
Hivi ndio kwa mfano huyu mwamba anayekwenda kwa jina la Max angekuwa msanii angechana au angebana pua?
Mziki wa mduara angeuweza kweli huyu mwana maana ana sura ya upole sana aisee.!
Dah bora tu abaki tu huku kwenye internet
Masuala ya hip-hop kufoka foka asingeweza kabisa
LONDON BOY
View attachment 1265415
Mbona Mark Zuckerberg watu wanamjudge tu wanavyojiskia na hawajawahi kupewa ban. Huyo mmiliki wa Nairaland nae watu wanamchana daily ila hajawahi kutoa banNaona unatafuta ban
Weweee Max anaimba na tuzo anazo kibao sema HAPENDI SHOW OFF tu.Huyu jamaa hip-hop haiwezi angebana tu pua
Kama ali K