Hivi Maxence Melo angekuwa msanii angekuwa mbana pua au angekuwa anachana?

Hivi Maxence Melo angekuwa msanii angekuwa mbana pua au angekuwa anachana?

Mbona namwona anafit sana kwenye singeli.

Weyiiiiiii mamaaaaaaa, weyiiiiiii babaaaaaaa
 
Mbona Mark Zuckerberg watu wanamjudge tu wanavyojiskia na hawajawahi kupewa ban. Huyo mmiliki wa Nairaland nae watu wanamchana daily ila hajawahi kutoa ban
Watu ni waoga sana Ndugu yangu hawajiamin kabisa
 
Nyie ndio hamumuogopagi head teacher wala mkurugenzi
Ahahahah..Umenikumbusha enz niko tosa kuna mdau mwenzet form 5 alimshushia kichapo second master kuanzia bwenn halaf akamvizia tena assemble ..dah..nikaona dooh!!! Huu sio ujasir wa kawaida
 
Namkubali sana huyu jamaa.. enz nikiwa teenger nakumbuka nilishawah kukimbizia gar kwa miguu ikiwa imewabeba east cost inawatangaza.It was 2003 maeneo ya mkwawa high school (kabla hakijawa chuo).
Sijui kapotelea wap siku hiz

King crazy yupo tu dar naona mziki umemkataa sasa hivi na ameshindwa kutengeneza tena kundi lenye nguvu kama ECT
 
Hivi jamaa ana udugu na Mbamba boy wa Chaukucha?wamefanana sana
 
Back
Top Bottom