Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 54,943
Mbona namwona anafit sana kwenye singeli.
Weyiiiiiii mamaaaaaaa, weyiiiiiii babaaaaaaa
Weyiiiiiii mamaaaaaaa, weyiiiiiii babaaaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebu ngoja nikae kwahapaView attachment 1265466
Max sio dikteta kiasi hicho [emoji23][emoji23]Naona unatafuta ban
[emoji23][emoji23][emoji23] wewe ndio umepatiaAnafaa kuwa kiongozi wa kwaya
Ahahahah..Umenikumbusha enz niko tosa kuna mdau mwenzet form 5 alimshushia kichapo second master kuanzia bwenn halaf akamvizia tena assemble ..dah..nikaona dooh!!! Huu sio ujasir wa kawaidaNyie ndio hamumuogopagi head teacher wala mkurugenzi
Namkubali sana huyu jamaa.. enz nikiwa teenger nakumbuka nilishawah kukimbizia gar kwa miguu ikiwa imewabeba east cost inawatangaza.It was 2003 maeneo ya mkwawa high school (kabla hakijawa chuo).Duniani wawili wawili!
View attachment 1265462
Kwa kosa lipi?Naona unatafuta ban
Namkubali sana huyu jamaa.. enz nikiwa teenger nakumbuka nilishawah kukimbizia gar kwa miguu ikiwa imewabeba east cost inawatangaza.It was 2003 maeneo ya mkwawa high school (kabla hakijawa chuo).
Sijui kapotelea wap siku hiz
Hao wangeimba mipashoBeira Boy,
Nami nauliza,Jiwe au Makonda wangekua wasanii wangekua hiphop au wabana pua?