Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lazima alikula cha arusha kikampa stimu.Ahahahah..Umenikumbusha enz niko tosa kuna mdau mwenzet form 5 alimshushia kichapo second master kuanzia bwenn halaf akamvizia tena assemble ..dah..nikaona dooh!!! Huu sio ujasir wa kawaida
Hivi alikuwa second master, au alikuwa assistant academic master? Si unamzungumzia yule Mzee alikuwa anafundisha Economics? Na punde baada ya tukio akawa Headmaster shule mojawapo huko vijijini?Ahahahah..Umenikumbusha enz niko tosa kuna mdau mwenzet form 5 alimshushia kichapo second master kuanzia bwenn halaf akamvizia tena assemble ..dah..nikaona dooh!!! Huu sio ujasir wa kawaida
Exactly mkuu...kulikua na ma second wawil dat time na huyu alikua mmoja wapo.Jina lake mtavangu .mwingine alikua anaitwa sadani.Hivi alikuwa second master, au alikuwa assistant academic master? Si unamzungumzia yule Mzee alikuwa anafundisha Economics? Na punde baada ya tukio akawa Headmaster shule mojawapo huko vijijini?