Hivi mbona makampuni ya kimataifa yanashindwa kwenye soko la Tanzania, Tala wafungasha na kubaki na Kenya na mataifa mengine

Hivi mbona makampuni ya kimataifa yanashindwa kwenye soko la Tanzania, Tala wafungasha na kubaki na Kenya na mataifa mengine

Uwe unatumia akili,nyie ndo mnasababisha hadi chadema waonekane wahuni
Cha kwanza sina unasaba na CHADEMA,pili aliyedai Vodacom ni ya CCM ni Musiba na mashabiki wa chama tawala waka'support kwamba Musiba hasemagi huongo na huwa ana data za jikoni kabisa.
Usifikiri kila anayepinga chama tawala au anayempinga rais ana affiliation na vyama vya upinzani, kuna watu kama mimi ambao hatukubali pale tunapoona mambo hayaendi sawa na hatuna muda wa kusifia mtu akitimiza majukumu iyoyaomba mwenyewe tena kwa kampeni kubwa na 'rafu' nyingi.
Kukimbilia kutaja chama ambacho sina hata unasaba nacho kumenifanya nikuone una ubongo wa kuku.
 
Haahhahahahhahhah mpk nakucheka dah sio kosa lako.
ATCL inaenda Mumbai sasa hv hilo sio jambo la kufikirika.Na itafika China tu maana km imetua Mumbai China haiko mbali na Mumbai uwezekano upo.
Hiv unajua failed project zikoje jombaa!???
Au unaongea kwa uhemko tu???!!!!
Kafuatilie kwanza.
Halafu Tz sawa ajira finyu lakini sio km Kenya wanachuo wanalalamika lakin sio kufikia hatua ya kujiua kama Kenya.
Bro sijui unanielewa ???!!!!
Huwezi kufananisha ufinyu wa ajira na ukosefu mkubwa wa ajira.
Tz kuna ufinyu wa Kuajiri kutokana na serikali inadai haina pesa za kutosha kuajiri kwa wingi ila inatoa ajira japo kwa kiwango kidogo.
Mwanachuo wa Kenya mpk anafikia hatua ya kujiua anafaham kuwa akiingia mtaani msoto mkali uhakika wa ajira ni zero.

Kuhusu mauaji nilikueka waz mauaji ya mlengwa wa kisiasa usifananishe na ya ukabila.
Yani huwez kutofautisha hivyo vitu viwili kabbisa???!!!!!!

Huna swali hata moja ulilojibu nishakujua ww ndiyo wale wakaao wakishashiba camp kujazana kasumba.
Ukiambiwa ukielezee usadikishe maelezo yako bado unazidi kutema pumba.

MKUU KWAHERI.

Usitafute justifications za mauaji. Pumbavu,eti usifananishe mauaji ya tofauti za kisiasa na ya ukabila. So cheap thinking.

Bado narudia tofauti ya KQ na ATCL ni kama mbingu na ardhi, it's shame trying to compare the two.

Tanzania kuna ukosefu mkubwa wa ajira,hili tatizo unajaribu kulipaka rangi lakini ukweli utabaki kuwa ukweli tu. Secondly nguvu ya kuajiri ya sekta binafsi Kenya wametuzidi sana, bitter pill to swallow lakini ndiyo ukweli wenyewe.
 
Wazee wa story za vijiweni [emoji23][emoji23][emoji23]
Usitafute justifications za mauaji. Pumbavu,eti usifananishe mauaji ya tofauti za kisiasa na ya ukabila. So cheap thinking.

Bado narudia tofauti ya KQ na ATCL ni kama mbingu na ardhi, it's shame trying to compare the two.

Tanzania kuna ukosefu mkubwa wa ajira,hili tatizo unajaribu kulipaka rangi lakini ukweli utabaki kuwa ukweli tu. Secondly nguvu ya kuajiri ya sekta binafsi Kenya wametuzidi sana, bitter pill to swallow lakini ndiyo ukweli wenyewe.
 
Wazee wa story za vijiweni [emoji23][emoji23][emoji23]
Kwanza nchi ninayoishi hatuna utamaduni wa vijiwe,pili I'm busy 24/7 ku'sustain familia yangu hivyo usifikiri kila mtu anashinda vijiweni kama wewe.
Ukiishiwa uongo just give up, njia ya muongo always huwa ni fupi. Shame on you.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Pumba tupu
Kwanza nchi ninayoishi hatuna utamaduni wa vijiwe,pili I'm busy 24/7 ku'sustain familia yangu hivyo usifikiri kila mtu anashinda vijiweni kama wewe.
Ukiishiwa uongo just give up, njia ya muongo always huwa ni fupi. Shame on you.
 
Usitafute justifications za mauaji. Pumbavu,eti usifananishe mauaji ya tofauti za kisiasa na ya ukabila. So cheap thinking.

Bado narudia tofauti ya KQ na ATCL ni kama mbingu na ardhi, it's shame trying to compare the two.

Tanzania kuna ukosefu mkubwa wa ajira,hili tatizo unajaribu kulipaka rangi lakini ukweli utabaki kuwa ukweli tu. Secondly nguvu ya kuajiri ya sekta binafsi Kenya wametuzidi sana, bitter pill to swallow lakini ndiyo ukweli wenyewe.
Huna facts.
Mpaka unatype error.
SINDANO IMEKUINGIA BILA SHAKA.
Maana huna swali hata moja ulilojibu zaidi ya kuhemuka tu unaongea ki hyper nothing else.
Toa fact sio uhemko.
Mauaji ya ukabila ni massively na mauaji ya mlengwa wa kisiasa huwaathiri wachache.Tizama Jaluo wanavyoteketea kisede.Halafu ukabila umefanya kenya iwe haina muunganiko mkisii hapendan na mkikuyu nchi inajengwaje???
Kuhusu KQ na ATCL nadhan unasikia huko hasara zinazopatikana KQ mpk shirika lataka kutaifishwa.
Kuhusu ajira nimekua nikikwambia kwa kina watu wanajiua huko kisa ukosefu wa ajira umewahi experience hii kitu Tz????
Tz tuna upungufu ila sio ukosefu mkubwa km Kenya.Kenya imesitisha ajira miaka mitatu hilo je limewahi kuonekana Tz???Wap kuna unafuu???
Eti ndio unajiita civilian with high reasoning capacity!!!!!
NINYI NDIO WATU MNAOFANYA YESU ASIRUDI.
FACT HUNA KABBISA.
 
Mkuu unachekesha ww.
Nakutajia matatizo ya Kenya ambayo hayapo Tz na najivunia kuwa mtz.
1)Njaa ya kila mwaka .
2)Failing projects.
3)Ufinyu wa umiliki ardhi.
4)Ukabila mpk ktk social welfare.
5)Ukosefu mkubwa wa ajira.
6)Mfumuko mkubwa wa bei ktk bidhaa.
Mbaya zaidi Kenya wamefunga ajira kwa miaka mitatu.

Usiwe kipofu hvyo wewe.Uchumi gani kenya unaouona mkubwa mpk uiweke trending hivyo???
Nitajie miaka yeyote ambayo Tz ilisitisha miaka ht miwili ajira.Au hyo GDP kubwa ya Kenya ndio inawatia upofu???
Mkuu sikubaliani na ww kattu.
Nimekutana na wakenya hususan jaluo na kisii.Wanakwambia wazi kabbisa Kuwa maisha ya Tz ni rahisi sana kuya afford.Hata mtu mwenye kipato cha chini anaweza akaishi na kufurahia maisha kenya.
Mtu akiwa na 100ksh Tz anaishi vema.ichukue hiyo 100ksh mpe mkenya uone atavyolalamika.
Twende kireality bhanaaa.
Tz ni nchi ambayo ina gharama nafuuu sana ya maisha kubali kataa.Sijaona kitu special kwa Kenya labda majengo na miundombinu ambayo huwanufaisha wachache ila wananchi tabu tupu.
NOTHING SPECIAL IN KENYA.
NCHI ILIYOBORA WANANCHI HUWA NA GHARAMA NAFUU ZA MAISHA SIO GHARAMA KANDAMIZI KAMA HAPA.




Vyombo vya habari hususan citizen imeripoti suicide commitments nyingi zinazochagizwa na ugumu wa maisha wa kenya na ukosefu wa ajira ww unasema Kenya wana hali nzuri kutuzidi?????
Unajua hata mzungu atakushangaa umwambie kuwa nchi imeendelea ilhali ina ukosefu wa ajira mpk kufikia kusitisha ajira miaka mitatu.
Acha kukariri ma GDP haya ya karatasini.

Nakutajia matatizo ya Tanzania.
1)Njaa ya kula kinyesi.
2)Failing projects Kama Bagamoyo na Strugglers gorge
3)Ufinyu wa matumizi ya ardhi.
4)Ukabila mpk ktk social welfare.
5)Ukosefu mkubwa wa ajira.
6)Mfumuko mkubwa wa bei ktk bidhaa.
Mbaya zaidi Tanzania wamepika takwimu.
😂😂😂😂
Sukari kutoka Kenya pale sirare 1200/=
Sukari kutoka Kagera Sugar 2200/=

 
Huna facts.
Mpaka unatype error.
SINDANO IMEKUINGIA BILA SHAKA.
Maana huna swali hata moja ulilojibu zaidi ya kuhemuka tu unaongea ki hyper nothing else.
Toa fact sio uhemko.
Mauaji ya ukabila ni massively na mauaji ya mlengwa wa kisiasa huwaathiri wachache.Tizama Jaluo wanavyoteketea kisede.Halafu ukabila umefanya kenya iwe haina muunganiko mkisii hapendan na mkikuyu nchi inajengwaje???
Kuhusu KQ na ATCL nadhan unasikia huko hasara zinazopatikana KQ mpk shirika lataka kutaifishwa.
Kuhusu ajira nimekua nikikwambia kwa kina watu wanajiua huko kisa ukosefu wa ajira umewahi experience hii kitu Tz????
Tz tuna upungufu ila sio ukosefu mkubwa km Kenya.Kenya imesitisha ajira miaka mitatu hilo je limewahi kuonekana Tz???Wap kuna unafuu???
Eti ndio unajiita civilian with high reasoning capacity!!!!!
NINYI NDIO WATU MNAOFANYA YESU ASIRUDI.
FACT HUNA KABBISA.
Baki huko huko dreamland, that's where you belong. Utakuja kustuka kumeshapambazuka.
 
Huna facts.
Mpaka unatype error.
SINDANO IMEKUINGIA BILA SHAKA.
Maana huna swali hata moja ulilojibu zaidi ya kuhemuka tu unaongea ki hyper nothing else.
Toa fact sio uhemko.
Mauaji ya ukabila ni massively na mauaji ya mlengwa wa kisiasa huwaathiri wachache.Tizama Jaluo wanavyoteketea kisede.Halafu ukabila umefanya kenya iwe haina muunganiko mkisii hapendan na mkikuyu nchi inajengwaje???
Kuhusu KQ na ATCL nadhan unasikia huko hasara zinazopatikana KQ mpk shirika lataka kutaifishwa.
Kuhusu ajira nimekua nikikwambia kwa kina watu wanajiua huko kisa ukosefu wa ajira umewahi experience hii kitu Tz????
Tz tuna upungufu ila sio ukosefu mkubwa km Kenya.Kenya imesitisha ajira miaka mitatu hilo je limewahi kuonekana Tz???Wap kuna unafuu???
Eti ndio unajiita civilian with high reasoning capacity!!!!!
NINYI NDIO WATU MNAOFANYA YESU ASIRUDI.
FACT HUNA KABBISA.
Endelea kujifariji kwa takwimu za kupika, uhalisia unaonekana hivyo longolongo zako zisizo'reflect uhalisia baki nazo kwapani kwako.
 
Nakutajia matatizo ya Tanzania.
1)Njaa ya kula kinyesi.
2)Failing projects Kama Bagamoyo na Strugglers gorge
3)Ufinyu wa matumizi ya ardhi.
4)Ukabila mpk ktk social welfare.
5)Ukosefu mkubwa wa ajira.
6)Mfumuko mkubwa wa bei ktk bidhaa.
Mbaya zaidi Tanzania wamepika takwimu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sukari kutoka Kenya pale sirare 1200/=
Sukari kutoka Kagera Sugar 2200/=

Unajigeuzia kibao mwasiti???!!!!
Yan matatizo ya Kenya ulete Tz??!!!!
Leta evidence km kuna watu wala kinyesi tz.
Nasubiri.
 
Endelea kujifariji kwa takwimu za kupika, uhalisia unaonekana hivyo longolongo zako zisizo'reflect uhalisia baki nazo kwapani kwako.
Ninachoongea ni reality.
Baki na kasumba zako nami nibaki na yangu.
 
Una ushabiki wa kitoto sana,gharama za maisha huku pesa ikionekana kwenye circulation. I see things with my naked eyes, si maelezo ya kwenye makaratasi yasiyoendana na uhalisia.
Hauni haya kuzungumzia ukabila wakati mkulu wa kaya anautengeneza kwa bidii zote.
Kwenye ukosefu mkubwa wa ajira kweli nyani haoni kundule,ni aibu kwa Mtanzania kuisimanga nchi yoyote kuhusu ukosefu wa ajira. Toa kwanza boriti kwenye jicho lako ndiyo utaona kibanzi kwenye jicho la mwenzako.
GDP ni indicator muhimu, wewe ni ile timu ambayo inalazimisha data za hali ya uchumi zitoke tu kwenye mamlaka za serikali ili ziwe za kupikwa zilizojaa giliba na ambazo haziendani na uhalisia. Mkipewa data za World Bank mnazikataa na kusema ni mabeberu wanataka kuwakatisha tamaa lakini hao hao World Bank wakitoa msaada mnawasifia japo sifa zaidi mnampa mkuu wa kaya kuwa anakubalika kwa wadau wa maendeleo. Hypocrisy at it's highest level.
Failing projects, za Kibongo hauzioni? Simple example is ATCL, ni failure huku ikitumika nguvu kubwa kuificha aibu kwani ni mradi wa nyapara mkuu.
Unasema Kenya kuna suicides nyingi, vipi kuhusu torture, liquidations, executions, kidnappings na false cases wanazobambikwa wakosoaji wa serikali kwa upande wa Tanzania.
Hehehehe wee ni mkenya???
 
Jamn kuna sababu nyingi za wanachuo kulia hamna ajira, ila ajira zipo. Kwa wanachuo kupata ajira mambo mengi yanaangaliwa ikiwemo ufaulu na uwezo wa mtu kufanya kazi, wanafunz wa chuo wanakataliwa coz ya kutokua ready na kazi na kukosa experience. Ila kiujumla ajira na vibarua vipo sema tu wingi wa wahitim ndo inaweka ugum coz viwango vya juu vinawekwa ili kupunguza waombaji, kwahyo ufaulu ni factor na co kama hajira hakuna. Lakn pia kwa kipnd hki ajira ni nying sana Tz, maproject yanayoendelea hapa tz co chini ya kumi, imesaidia kutoa ajira na vibarua vingi. Kwahy jamaa hajakosea coz ajira zinatolewa. Na pia utalia hakuna ajira if you dont know how to find it, kazi zipo, ila watu hawajajiandaa hasa hao wanachuo unaotetea. Hyo ni fact siyo porojo
Usitafute justifications za mauaji. Pumbavu,eti usifananishe mauaji ya tofauti za kisiasa na ya ukabila. So cheap thinking.

Bado narudia tofauti ya KQ na ATCL ni kama mbingu na ardhi, it's shame trying to compare the two.

Tanzania kuna ukosefu mkubwa wa ajira,hili tatizo unajaribu kulipaka rangi lakini ukweli utabaki kuwa ukweli tu. Secondly nguvu ya kuajiri ya sekta binafsi Kenya wametuzidi sana, bitter pill to swallow lakini ndiyo ukweli wenyewe.
 
Jamn kuna sababu nyingi za wanachuo kulia hamna ajira, ila ajira zipo. Kwa wanachuo kupata ajira mambo mengi yanaangaliwa ikiwemo ufaulu na uwezo wa mtu kufanya kazi, wanafunz wa chuo wanakataliwa coz ya kutokua ready na kazi na kukosa experience. Ila kiujumla ajira na vibarua vipo sema tu wingi wa wahitim ndo inaweka ugum coz viwango vya juu vinawekwa ili kupunguza waombaji, kwahyo ufaulu ni factor na co kama hajira hakuna. Lakn pia kwa kipnd hki ajira ni nying sana Tz, maproject yanayoendelea hapa tz co chini ya kumi, imesaidia kutoa ajira na vibarua vingi. Kwahy jamaa hajakosea coz ajira zinatolewa. Na pia utalia hakuna ajira if you dont know how to find it, kazi zipo, ila watu hawajajiandaa hasa hao wanachuo unaotetea. Hyo ni fact siyo porojo
Anataka afananishe na kenya ajira zimesitishwa miaka mitatu na wanachuo walohitimu baadhi kujiua kwa kuhofia ugumu wa maisha kwa ukosefu wa ajira.
Yan anataka kufananisha hayo mambo mawili hiyo ni reality yeye anakwambia habari za kupikwa.
 
Back
Top Bottom