Mkuu unachekesha ww.
Nakutajia matatizo ya Kenya ambayo hayapo Tz na najivunia kuwa mtz.
1)Njaa ya kila mwaka .
2)Failing projects.
3)Ufinyu wa umiliki ardhi.
4)Ukabila mpk ktk social welfare.
5)Ukosefu mkubwa wa ajira.
6)Mfumuko mkubwa wa bei ktk bidhaa.
Mbaya zaidi Kenya wamefunga ajira kwa miaka mitatu.
Usiwe kipofu hvyo wewe.Uchumi gani kenya unaouona mkubwa mpk uiweke trending hivyo???
Nitajie miaka yeyote ambayo Tz ilisitisha miaka ht miwili ajira.Au hyo GDP kubwa ya Kenya ndio inawatia upofu???
Mkuu sikubaliani na ww kattu.
Nimekutana na wakenya hususan jaluo na kisii.Wanakwambia wazi kabbisa Kuwa maisha ya Tz ni rahisi sana kuya afford.Hata mtu mwenye kipato cha chini anaweza akaishi na kufurahia maisha kenya.
Mtu akiwa na 100ksh Tz anaishi vema.ichukue hiyo 100ksh mpe mkenya uone atavyolalamika.
Twende kireality bhanaaa.
Tz ni nchi ambayo ina gharama nafuuu sana ya maisha kubali kataa.Sijaona kitu special kwa Kenya labda majengo na miundombinu ambayo huwanufaisha wachache ila wananchi tabu tupu.
NOTHING SPECIAL IN KENYA.
NCHI ILIYOBORA WANANCHI HUWA NA GHARAMA NAFUU ZA MAISHA SIO GHARAMA KANDAMIZI KAMA HAPA.
Vyombo vya habari hususan citizen imeripoti suicide commitments nyingi zinazochagizwa na ugumu wa maisha wa kenya na ukosefu wa ajira ww unasema Kenya wana hali nzuri kutuzidi?????
Unajua hata mzungu atakushangaa umwambie kuwa nchi imeendelea ilhali ina ukosefu wa ajira mpk kufikia kusitisha ajira miaka mitatu.
Acha kukariri ma GDP haya ya karatasini.