Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Huyo jamaa ni wazi ana mahaba na Mbowe na hataki kusikia lawama legit anazopewa Mbowe.Kwahio sababu siwezi kucheza au sichezi mpira nisimlaumu Messi akikosa Penalty ? Au Tyson akipigwa kwenye ulingo nishangilie tu sababu mimi siwezi kupigana nae hata akifumba macho ?
Hii logic ya Wapi hii....,