Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Nassary alikuwa kijana machachari Sana kutoka huko Arusha, alikuwa anajenga hoja na kusimamia serikali. Toka nimwone jukwaani akimnadi JPM sijawahi kimwona tena sijui kama yupo nchini au anafanya kazi nje; huyu kijana pamoja na Masele NI watu ambao hakuna siku watamsahau Ndugai. Ndugai alimvua mmoja Ubunge kimabavu na mwingine akafungiwa milango ya uspika huko Afrika Kusini
Baada ya Nassary kupotea kwenye siasa kutokana na usaliti naamini alipatikana mrithi jimboni kwake; Je mrithi wake ni nani? Mbona hakuna sehemu anasikika?
Lakini pia Stephen Masele naye kapotea, sijui Youth league iliwaandaa kuwa viongozi au iliwaandaa kuwa waoongozwa. Umepewa talenti unakubalije mwanaume mmoja akukandamize? Bora wangefuata nyayo za mashujaa waliokimbia nchi kuliko kuambatana na mwanaume ambaye naye anataka sifa kama wao.
Vijana jitokezeni mnunue Uhuru wenu; amkuzaliwa kutawaliwa mlizaliwa kuongoza.
Baada ya Nassary kupotea kwenye siasa kutokana na usaliti naamini alipatikana mrithi jimboni kwake; Je mrithi wake ni nani? Mbona hakuna sehemu anasikika?
Lakini pia Stephen Masele naye kapotea, sijui Youth league iliwaandaa kuwa viongozi au iliwaandaa kuwa waoongozwa. Umepewa talenti unakubalije mwanaume mmoja akukandamize? Bora wangefuata nyayo za mashujaa waliokimbia nchi kuliko kuambatana na mwanaume ambaye naye anataka sifa kama wao.
Vijana jitokezeni mnunue Uhuru wenu; amkuzaliwa kutawaliwa mlizaliwa kuongoza.