LGE2024 Hivi Mdude Nyagali atahojiwa Vituo Vingapi, Kwani Polisi hawatumii TEHAMA? Sasa hivi kaletwa Dar es salaam

LGE2024 Hivi Mdude Nyagali atahojiwa Vituo Vingapi, Kwani Polisi hawatumii TEHAMA? Sasa hivi kaletwa Dar es salaam

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Bado tunajiuliza kama Jeshi la Polisi linatumia mbinu gani kwenye kuhoji watuhumiwa.

Mdude alishajieleza kwamba hayuko tayari kutoa maelezo yoyote polisi, lakini bado Polisi wanamhangaisha na kujihangaisha wenyewe.

Njia Pekee ya kupambana na Mdude ni Kumshitaki tu , Hakuna namna nyingine yoyote ile.
 
Bado tunajiuliza kama Jeshi la Polisi linatumia mbinu gani kwenye kuhoji watuhumiwa.

Mdude alishajieleza kwamba hayuko tayari kutoa maelezo yoyote polisi, lakini bado Polisi wanamhangaisha na kujihangaisha wenyewe.

Njia Pekee ya kupambana na Mdude ni Kumshitaki tu , Hakuna namna nyingine yoyote ile.
Jikite katika hoja ya Kikao cha Kamati Kuu. Ya Mdude muachie mdudu
 
Bado tunajiuliza kama Jeshi la Polisi linatumia mbinu gani kwenye kuhoji watuhumiwa.

Mdude alishajieleza kwamba hayuko tayari kutoa maelezo yoyote polisi, lakini bado Polisi wanamhangaisha na kujihangaisha wenyewe.

Njia Pekee ya kupambana na Mdude ni Kumshitaki tu , Hakuna namna nyingine yoyote ile.
Wastage of public funds
 
Bado tunajiuliza kama Jeshi la Polisi linatumia mbinu gani kwenye kuhoji watuhumiwa.

Mdude alishajieleza kwamba hayuko tayari kutoa maelezo yoyote polisi, lakini bado Polisi wanamhangaisha na kujihangaisha wenyewe.

Njia Pekee ya kupambana na Mdude ni Kumshitaki tu , Hakuna namna nyingine yoyote ile.
Huyo mvuta bangi anakesi kila mkoa ametukana wafu wengi na RB kibao zimetapakaa atazungushwa kila mkoa na kuishia jela kosa alifanya Samia kumpa msamaha eti maridhiano unaridhia na VP na wavuta bangi

USSR
 
Mdude afunguke tu, jeshi lina mbinu nyingi sana linapotafuta maelezo sahihi toka kwa muhalifu, serekali ni lazima ipate details za kina juu ya muhalifu yoyote yule, basi hata majambazi yangeliweza kuwa yanasema tukutane mahakamani.
 
Hana adabu kabisa yule. Ikibidi arejeshwe tena Songwe kwa mahojiano zaidi. Taifa haliwezi kuendelea kufumbia macho watu wasio jitambua na ambao muda wote wanatukana matusi hovyo hovyo kama kichaa au mwendawazimu.

Inatakiwa akitoka awe na adabu.
 
Bado tunajiuliza kama Jeshi la Polisi linatumia mbinu gani kwenye kuhoji watuhumiwa.

Mdude alishajieleza kwamba hayuko tayari kutoa maelezo yoyote polisi, lakini bado Polisi wanamhangaisha na kujihangaisha wenyewe.

Njia Pekee ya kupambana na Mdude ni Kumshitaki tu , Hakuna namna nyingine yoyote ile.
Mdude ni mhalifu tu na ww acha kutetea watu wahalifu nenda kwenye kurasa zake za x na fb utajua uhalifu wake
 
Huyo mvuta bangi anakesi kila mkoa ametukana wafu wengi na RB kibao zimetapakaa atazungushwa kila mkoa na kuishia jela kosa alifanya Samia kumpa msamaha eti maridhiano unaridhia na VP na wavuta bangi

USSR
Mdude hakuwahi kusamehewa na Samia, Alishinda Kesi
 
Hana adabu kabisa yule. Ikibidi arejeshwe tena Songwe kwa mahojiano zaidi. Taifa haliwezi kuendelea kufumbia macho watu wasio jitambua na ambao muda wote wanatukana matusi hovyo hovyo kama kichaa au mwendawazimu.

Inatakiwa akitoka awe na adabu.
Wewe ni mtu duni sana, huyawezi mambo haya, Endelea kushabikia Wauaji, ila Tambua kwamba Shetani hana Rafiki
 
Back
Top Bottom