Boniface Mwakola
Member
- Sep 13, 2024
- 76
- 39
anahojiwa vituo kumi swali lingine?Mwacheni kama polisi wanataka kumla nyama wamle, hatakua wa kwanza wala wa mwisho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anahojiwa vituo kumi swali lingine?Mwacheni kama polisi wanataka kumla nyama wamle, hatakua wa kwanza wala wa mwisho
Una utajiri gani wee mtandika kitanda Cha mwenyekiti hadi ushindwe kubishana na masikini?Kubishana na Masikini ni kupoteza muda
Huyo Mdude inatakiwa afundishwe adabu kisawasawaWewe ni mtu duni sana, huyawezi mambo haya, Endelea kushabikia Wauaji, ila Tambua kwamba Shetani hana Rafiki
Ilibidi dikteta mwendakuzimu ambambikie kesi ya madawa ili kumuweka gerezani. Mwambieni ajuza chura kiziwi naye afanye hivyo kama anakereka sanaHuyo mvuta bangi anakesi kila mkoa ametukana wafu wengi na RB kibao zimetapakaa atazungushwa kila mkoa na kuishia jela kosa alifanya Samia kumpa msamaha eti maridhiano unaridhia na VP na wavuta bangi
USSR
Mdude Nyagali Chadema.viatu vya mdude havinitoshi
Oyaa dogo unakera kupita maelezo.Wewe endelea kujifungia huko acha wanaume wapambane.
0.79% inatosha.
Acha kukera wanaume weweeUna utajiri gani wee mtandika kitanda Cha mwenyekiti hadi ushindwe kubishana na masikini?
Hawa ndo wapigania uhuru wa kweli.Mdude Nyagali Chadema.
Kuna kipindi alitekwa kupigwa, kuteswa na kutupwa kama Sativa.
Nahisi jamaa alishajitoa mhanga kama ni kuuawa sawa tu.
Nahisi hata sasa wanaweza wakamtesa pia. Ni maisha flani ya mateso kama ya Yesu msalabani.
Nafurahi umeelewa hili, polisi isisumbuke na matahaira, "likitukana kamata chapa bakora"Mdude ana changamoto ya afya ya akili yeye na huyo Sativa
Bado Mkoa wa Mara, halafu kesi inafunguliwa Lindi au wilaya ya Tanganyika huko KataviBado tunajiuliza kama Jeshi la Polisi linatumia mbinu gani kwenye kuhoji watuhumiwa.
Mdude alishajieleza kwamba hayuko tayari kutoa maelezo yoyote polisi, lakini bado Polisi wanamhangaisha na kujihangaisha wenyewe.
Njia Pekee ya kupambana na Mdude ni Kumshitaki tu , Hakuna namna nyingine yoyote ile.
Kama kurasa zake za x na fb zina ushahidi wa uhalifu wake wanamhoji kitu gani?Mdude ni mhalifu tu na ww acha kutetea watu wahalifu nenda kwenye kurasa zake za x na fb utajua uhalifu wake
Sasa kesi ya mvuta Bangi, ndiyo iwatie jamba jamba mda wote huo si ingekuwa hivyo siku hiyo hiyo wangempandisha kizimbani na kusomewa mashtaka yake na kuhumiwa. Mdude siyo mvuta Bangi, mdude ni kama watanzania wengine ambao wamechoka na mambo yanavyoendeshwa nchini ila wanaogopa kuongea ila mdude yeye anaongea wazi wazi sima Lugha anayotumia kufikisha ujumbe wake anatumia maneno makali na kuudhi wale wanao fanya huo uovu. Ila kundi la kina mdude linaongezeka siku baada ya siku wakiwemo na Akina soko, sativa, yeriko nyelele, Malisa, na wengine wengi jinsi unavyo wakamata na kuwatesa na kuwauwa ndivyo wanazidi kuongezeka. Hiyo ni kanuni wala sikutunga mimi.Huyo mvuta bangi anakesi kila mkoa ametukana wafu wengi na RB kibao zimetapakaa atazungushwa kila mkoa na kuishia jela kosa alifanya Samia kumpa msamaha eti maridhiano unaridhia na VP na wavuta bangi
USSR
Hana adabu kabisa yule. Ikibidi arejeshwe tena Songwe kwa mahojiano zaidi. Taifa haliwezi kuendelea kufumbia macho watu wasio jitambua na ambao muda wote wanatukana matusi hovyo hovyo kama kichaa au mwendawazimu.
Inatakiwa akitoka awe na adabu.
Alikuhalifia nani?Exactly,siwezi mtetea mdude ni mhalifu sana
Finally Mahakamani ndo last resort,Huyo mvuta bangi anakesi kila mkoa ametukana wafu wengi na RB kibao zimetapakaa atazungushwa kila mkoa na kuishia jela kosa alifanya Samia kumpa msamaha eti maridhiano unaridhia na VP na wavuta bangi
USSR