Hivi Mdude Nyagali ni kiumbe wa namna gani?

Huu ndio ukweli.
 
Ni kweli kabisa.
 
Majitu mnayowaza kuishi kwakupumliwa nyuma huwa hamuwazi kujitegemea zaidi ya kufurahisha mabwana zenu. Achana na Mdude huyo ni mwanaume sio we shoqer.
Na wewe nenda front kama yeye au hautaki kuwa mwanaume? Mnamlisha upepo mwenzenu anajikuta Oliver Tambo kumbe ni Arlus Mabele anapitia matatizo makubwa wewe upo mtaani una enjoy life.
 
Ni nani aliyekwambia Mdude alishinda kesi?

Acha kupotosha mkuu.
Naomba uweke basi ukweli kuhusu kesi ya Mdude ya kukutwa na mihadarati iliishaje! Kama nimepotosha NITAOMBA RADHI
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…