Hivi Member wa JF mpaka Saa 7 hii Kasoro hujalala ukiitwa Mchawi au Mpiga Chabo au Kibaka utakataa?

Hivi Member wa JF mpaka Saa 7 hii Kasoro hujalala ukiitwa Mchawi au Mpiga Chabo au Kibaka utakataa?

Usingizi
ws_Loading_bar_1280x720.jpg
 
Mm ndo lichawi sugu maana hapa nishaamka nakanda unga wa mandazi kwaajl ya vitafunwa asubuhi. Wachawi hoyeeee
 
Leo sijalala kwa sababu kesho na ingia EU niombeeni uchumi unanifanya nisilale.
 
Usiku mtamu Net inakua imetulia na hali ya hewa inakua nzuuri
 
Back
Top Bottom