Hivi Member wa JF mpaka Saa 7 hii Kasoro hujalala ukiitwa Mchawi au Mpiga Chabo au Kibaka utakataa?

Hivi Member wa JF mpaka Saa 7 hii Kasoro hujalala ukiitwa Mchawi au Mpiga Chabo au Kibaka utakataa?

unalalaje wakati chumba kimejaa maji na huko nje kuna dalili za mvua.
 
Karibu Sana kwa wanaoongea Igbo.....wajinga wenye akili ya panya wakiwa nje ya nchi yao.
 
Ujumbe huu umfikie yoyote yule aliye macho hadi hivi sasa na yuko online akitiririka na kuserereka. Na ' Uzi ' huu kamwe haumuhusu mletaji wake kwani nimeamka tu mara moja niende Msalani nimeanzisha tu huu ' Uzi ' natoka zangu humu sasa hivi nawaacha Wachawi, Wapiga Chabo na Vibaka muendelee.

Nawasilisha.
wewe unataka watu walale uwawangie nn? halali mtu hapa we toka msalani ludi ukalale.
 
Ujumbe huu umfikie yoyote yule aliye macho hadi hivi sasa na yuko online akitiririka na kuserereka. Na ' Uzi ' huu kamwe haumuhusu mletaji wake kwani nimeamka tu mara moja niende Msalani nimeanzisha tu huu ' Uzi ' natoka zangu humu sasa hivi nawaacha Wachawi, Wapiga Chabo na Vibaka muendelee.

Nawasilisha.
Usiku kwako kwa wengine mchana ujasoma geography nn,wengine tuko USA,wengine wanafanya Kazi za shift usiku,kwenye station za redio,TV,viwanda ni,madereva wa Magari usiku,manesi,maaskari,nk.
 
Back
Top Bottom