Hivi Member wa JF mpaka Saa 7 hii Kasoro hujalala ukiitwa Mchawi au Mpiga Chabo au Kibaka utakataa?

Mm ndo lichawi sugu maana hapa nishaamka nakanda unga wa mandazi kwaajl ya vitafunwa asubuhi. Wachawi hoyeeee
 
Leo sijalala kwa sababu kesho na ingia EU niombeeni uchumi unanifanya nisilale.
 
Usiku mtamu Net inakua imetulia na hali ya hewa inakua nzuuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…