Mikhail Tal
JF-Expert Member
- May 12, 2016
- 421
- 778
Kuna hii gar nimeipenda ila sasa millage inaniogopesa maana ipo kwenye km 200,000
But ka gar ukikaangalia ni kazuri kweli halafu ni latest cha 2009. Nimepiga pia tra inaweza kuwa kama 7 million. Embu nishaurini hapo wakuu.
Ama nitafute hata cha millage ya laki moja? Maana nimechunguza kwa gar nnayotaka ni ngumu kupata ya millage below 100,000 kwa bei nnayotaka mimi.
But ka gar ukikaangalia ni kazuri kweli halafu ni latest cha 2009. Nimepiga pia tra inaweza kuwa kama 7 million. Embu nishaurini hapo wakuu.
Ama nitafute hata cha millage ya laki moja? Maana nimechunguza kwa gar nnayotaka ni ngumu kupata ya millage below 100,000 kwa bei nnayotaka mimi.