Hypersonic WMD
JF-Expert Member
- Apr 11, 2024
- 1,337
- 1,876
Wakuu hebu nisaidie hizi kazi za Afya zilizotoka saizi za online interview
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo nasoma sijaelewaKama umeshindwa kuelewa maelezo ya tangazo la kazi basi imefeli.
Umefeli kwa sababu gani? sababu hujaelewa, kuelewa jambo inakupelekea kulifanya kwa usahihi wa asilimia kubwa.
Kama kweli upo serious, kasome tena tangazo nukta kwa nukta utaelewa
Mbona unanikatisha tamaaKama umeshindwa kuelewa maelezo ya tangazo la kazi basi imefeli...
Ukweli ambao ni mchunguKama umeshindwa kuelewa maelezo ya tangazo la kazi basi imefeli...
Kweli tutafute pesa si kila hospital ni ya kuenda.Maelezo ya mgonjwa utayaelewa kweli?
Unafanyia kituoni, beba vyeti vyako na kitambulisho kama ilivyoelezwa kwenye tangazo