Hivi mjasiriamali anazaliwa, anatengenezwa?

Hivi mjasiriamali anazaliwa, anatengenezwa?

unajua kwenye kuwaza na kusema hatuna ''r'' hivyo tunapobadilisha mawazo kuwa maandishi nayo automatically yanakosa ''r''.

Tutakupa darsa mpaka huko kuwaza kutakaa sawa, Kiswahili ni lugha yako ya Taifa kijivunie kwa kuandika sawa.

"asiyefundwa na mama'e, hufundwa na ulimwengu"
 
Broo km umesoma link ya hapo juu. yule jamaa anayesema kwamba wanatengenezwa kuna sehemu anasema kwamba genes za entrepreneurship pia zinahusika. ni kweli externak forces km opportunities na mazingira vinaongeza strongness kwenye entrepreneurship ila you must be having the characteristics of entrepreneur. jaribu kuzigoogle zitakusaidia. genes are transferable mfano inawezekana babu mzaa babu yako alikuwa nazo then waliofata wote hawakuzipata ukajikuta ww unazipata. ww ukishaona una sifa za mjasiliamali then you were born with them. ila vinginevyo unaweza kufundishwa na kuwa vizuri theoretically ila practically huwezi. ndio maana wengine wanakuwa walimu kuwafundisha wajasiliamali jiulize kwa nn wao wasiwe wajasiliamali.
unakubaliana nami kwamba tabia za watu hubadilika? mtu anaweza kujifunza kuwa risk taker na mvumilivu (mfano jeshini)?.
 
Kwa jibu rahisi, mjasiriamali anatengenezwa na mazingira.

Tiba.
 
Haya yalisha zungumzwa sana humu, tafuta uzi mmoja ulikuwa na majdala mkali sana kuhusu Born and made.
 
Haya yalisha zungumzwa sana humu, tafuta uzi mmoja ulikuwa na majdala mkali sana kuhusu Born and made.

Mkuu kama unaeza iweke hapa hyo thread maana hata mimi nmekua interested kujua kama mcheza mpira anazaliwa na kipaji au anatengenezwa
 
Back
Top Bottom