Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 42,023
- 12,811
Jamani huku vijijini kumekuwa na wimbi kubwa la vijana kukimbia na kwenda mjini kwa kisingizio cha kwenda kutafuta maisha. Lakini sasa imekuwa ni kero kwa baadhi ya vijana wa kiume waliooa kutelekeza wake zao na kwenda kutafuta maisha mjini. Na wengi wao hawarudi kabisa au wakirudi wanakuwa wameoa wake wengine ambao wamewapata mjini. Hii imekuwa ni kero sana maana inasababisha ongezeko la watoto wa mitaani...........