CHA The GREAT
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 651
- 854
Kwa Mujibu wa Sheria zetu...Mke wa Raisi anpata nusu ya Mshahara wa mumewe. Na hii nikutokana na kazi kubwa ya kulinda afya ya Raisi wetu. Kumbuka kuwa ndio mtu pekee anayeweza kuwa faraga na Raisi kwa muda mrefu zaidi. Na mambo mengine mengi tu. Wajuzi wa mambo watakupa uelewa.Swali na ufafanuzi kidogo.
Utasikia mke wa rais kachangia hiki, kachangia pesa taslim Tsh. ngapi, swali langu, je na wake wa marais huwa wanapewa mshahara? Kama ndiyo kwa kazi gani wanazozifanya kwa walipa kodi? Kama hapana, hizo hela wanazotoa huwa wanazipata wapi wakati hawana kazi wala kuajiriwa?
Ninaamini swali si kosa kwa mujibu wa katiba yetu.
Msaada please,Swali na ufafanuzi kidogo.
Utasikia mke wa rais kachangia hiki kachangia kile, katoa pesa taslim kiasi fulani. Swali langu, je na wake wa marais huwa wanapewa mshahara? Kama ndiyo kwa kazi gani wanazozifanya kwa walipa kodi? Kama hapana, hizo hela wanazotoa huwa wanazipata wapi wakati hawana kazi wala mshahara?
Ninaamini swali si kosa kwa mujibu wa katiba yetu.
Mshahara wa Nini??
Kazi yake ina likizo??
Ofisi yake Iko wapi??
Job Descriptions zake ni zipi??
Boss wake ni nani??
Anaingia Ofisini saa ngapi na kutoka saa ngapi??
Nilikua nawaza tu huo mshahara anaupokea wa nini??Shark wewe ni denjarasi, hadi JD yake unaitaka...ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha...