44mg44 Samahani Kiongozi..Me ni mwanamke lakin naomba nikuulize Umeoa au Umeolewa?
Aisee we ni Mwanaume? Au Mtoto wa Kiume? Samahani ila haufai kuitwa Mwanaume
Kama tu kumsimamia Mkeo huwezi hufai kua Mwanaume..unawadhalilisha Wanaume wenzio..Mkeo katoka hujui alipoenda ndani ya masaa 4🤨
Hili nalo la kuomba ushauri kweli🙃🙃🙃