Pole sana kwa yaliyokukuta,Kwema waheshimiwa?
Hivi mkeo wa ndoa mnaeishi nae nyumba moja na kulala same bed anapokublock kwenye normal calls or WhatsApp, anakua na maana gani?
NB;Hii kesi ni ya jamaa yangu.
[emoji23][emoji23][emoji23]Akiku block wala usigombane nae, wekausha na mwisho ata unblock mwenyewe alafu unamchapanao na kesi inaisha.
Mkuu, hapa atakuwa anajishusha na kumnyenyekea mwanamke!!Au siku akikuomba hela mwambie baadae kidogo nitatoka ila nikumbushe kwa kunitumia msg.
Ukiwa peke yako nyumbani, chukua namba ya huyo mwanamke kisha mvute chumbani kwako, umuhoji vizuri!!Kwema waheshimiwa?
Hivi mkeo wa ndoa mnaeishi nae nyumba moja na kulala same bed anapokublock kwenye normal calls or WhatsApp, anakua na maana gani?
NB;Hii kesi ni ya jamaa yangu.
AmekuchokaKwema waheshimiwa?
Hivi mkeo wa ndoa mnaeishi nae nyumba moja na kulala same bed anapokublock kwenye normal calls or WhatsApp, anakua na maana gani?
NB;Hii kesi ni ya jamaa yangu.
Nimekuelewa mkuu na upo sahihi kabisa.Mkuu, hapa atakuwa anajishusha na kumnyenyekea mwanamke!!
Atakuwa anapingana na makubariano yetu kwenye kikao cha wanaume!
Kausha jifanye kama hujui. Ila endelea kutimiza majukumu yako kama kawa. Hakuna kinachommaliza mwanamke kama silence ya mwanaumeKwema waheshimiwa?
Hivi mkeo wa ndoa mnaeishi nae nyumba moja na kulala same bed anapokublock kwenye normal calls or WhatsApp, anakua na maana gani?
NB;Hii kesi ni ya jamaa yangu.
Wewe akikublock unapungukiwa nini? Si ndio amekupa nafuu kukupigia simu zao za kipuuzi halafu unaulizwa uko wapi?Kwema waheshimiwa?
Hivi mkeo wa ndoa mnaeishi nae nyumba moja na kulala same bed anapokublock kwenye normal calls or WhatsApp, anakua na maana gani?
NB;Hii kesi ni ya jamaa yangu.
Siyo kweli, bado huwajui wanawake wewe.Si mshahara umeongezewa chifu tena 23%
ONGEZA MKE CHIFU huyo ana mtu wake anampost kila siku hataki uone na ww tafuta mtu wako