Hivi mkishapata pesa na magari hao wanawake mnawapataje?

Hivi mkishapata pesa na magari hao wanawake mnawapataje?

Ukiwa huna gari akili inawaza ivyo(ukiipata watakukoma) siku ukipata gari halaf marafik zako au ndg bao wote wakawa na magari basi gari unaiona matako tu maana utahisi kila mtu anayo so ule irimbukune wa kusema utasumbua unaisha
 
Extrovert,

Sema ubaya wa kutumia pesa na gari kama chambo ya kuvutia mademu ni kuwa mademu watakupendea hela, kwahiyo ukiishiwa na wao wanasepa, wakati we unatumia laki 3 mpaka umgegede demu, mwanaume anaependwa, anapewa papuchi ya Bure

Hlf kuna mademu wengine wakikuona hivo, wanakuchuna pesa wee na papuchi hawakupi Extrovert
Sasa hayo mambo ya kuchunwa na kunyimwa papuchi ni yako! Tunachoongea ni kumvuta aingie anga zako kumalizia utajua mwenyewe kwani nao ni binadamu wana akili. By the way! Kama huna hela huwezi pata papuchi ya uhakika utaishia zinazonuka shombo!
 
swali la msingi kwanza,
ushazipata hizo pesa na gari tayar??. maana hiyo ni stage ya kwanza, kama bado endelea kuzichanga kama tayar waombe wakupe what is next..Utaanza kuambiwa habari swag na u smart ,actually kuna hatua nying kweli yan.
ahahahahahahahahahahahah.

NB:
live your life. usipende mambo ya kufuata fuata mtiririko mambo mengine hayanaga formular.Yanakuja tu na ww unajiongeza tu hata kama huna pesa wala gari wala nyumba.
 
Msubiri amesimama kusubiri daladala kuelekea kwao unasimamisha gari unampakia.
Tayari hapo, una swali?
Mara nyingi humu jamvini mtu akija na changamoto ya kuachwa au kukataliwa watu huwa wanashauri tafuta pesa, nunua gari na blah blah nyingine.

Sasa swali langu ukiwa na pesa, unamwita mdada unamwambia mimi nina wekundu kadhaa nikubalie? Au ukiwa na gari unawapataje sasa mimi naona kama unakuwa umepunguza interaction maana kwenye public transport unakoweza kuwaotea. Hapa sizungumzii milupo na malaya wa viwanja..

Naombeni majibu maana naona kwangu bado mambo bila bila [emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23] nicheck bro Kama utahitaji app

Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua coding? Unajua ishu za AI mashine learning? Nafikiria kwamba AI inamsaidia mteja kutongoza demu moja kwa moja. Pia AI inasaidia kuchat na demu kimahaba mpaka analiwa kimasihara.






Unaweza kuiona idea ya kiboya ila mabeberu wakiiona wakiinunua unaweza kujikuta unakuwa bilionea kimasihara.
 
Extrovert,

Sema ubaya wa kutumia pesa na gari kama chambo ya kuvutia mademu ni kuwa mademu watakupendea hela, kwahiyo ukiishiwa na wao wanasepa, wakati we unatumia laki 3 mpaka umgegede demu, mwanaume anaependwa, anapewa papuchi ya Bure

Hlf kuna mademu wengine wakikuona hivo, wanakuchuna pesa wee na papuchi hawakupi Extrovert
😁😁😁😁😁 hao mademu wenye tabia hio niletee, nina dawa yao!
 
Back
Top Bottom