Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Le Commandant Field Marshal Dr Professor DABTumeona Makonda anavyoibua madudu mkoani Arusha. Mbona sioni wakuu wengine wa mikoa wakitatua matatizo kwenye mikoa Yao?
Ina maana huko Songwe, Njombe, Kilimanjaro, TANGA na Pwani (hasa Pwani) kuko shwari?
Hahaha hujamsikia cde Malima Morogoro, kasema mkulima anaweza kuchukua hela kwa mfugaji ili aje alishe kwenye ufuta na mambo yaendeTumeona Makonda anavyoibua madudu mkoani Arusha. Mbona sioni wakuu wengine wa mikoa wakitatua matatizo kwenye mikoa Yao?
Ina maana huko Songwe, Njombe, Kilimanjaro, TANGA na Pwani (hasa Pwani) kuko shwari?
hali si shwari huko, ni wakuu wake wa mikoa kufanya kazi kiulainilaini,hawana hamshaamsha nyani, ngedere na kima wanajilia shamba watakavyo wala hakuna wa kuwatia jambajamba waogope na wakimbie kula shambaTumeona Makonda anavyoibua madudu mkoani Arusha. Mbona sioni wakuu wengine wa mikoa wakitatua matatizo kwenye mikoa yao?
Ina maana huko Songwe, Njombe, Kilimanjaro, TANGA na Pwani (hasa Pwani) kuko shwari?