Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Huwezi kuwa na DC mjinga namna ile na Wilaya ikapata maendeleo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo akili anayo?Wizi/ukabaji kwamkoa wa Dar es salaam ni janga nilifikir mkuu wa wilaya awekeze nguvu huko badala ya ku deal na watu wasiohatarisha amani ya mtu yyte zaid ya kutumia walivyobarikiwa.
Kwa kweli, hivi tusema ni maendeleo au ni nini?Vijana kwa wazee, wote wanasimama na dada poa, hadi raha.....
#freedadapoa #freezeutamu
Waganga wakifikiwa hivi hivi watapata sapoti kubwa kama hawa.....Kwa kweli, hivi tusema ni maendeleo au ni nini?
Hao watu waliokupachika jina la machepele wapeleke polisi. Comment yako inaonyesha wewe ni mtu mwenye akili na weledi na siyo machepele.Pia katiba yetu au sheria na kanuni sina imani kama zimemtaja kahaba kuwa ni kosa la madai au kosa la jinai.
Vilevile; Mkuu wa mkoa, wilaya na vongozi wengine maandamizi kuna vitu vingi vya kudeal navyo, ambavyo vina impact ya moja kwa moja kwa wananchi.
Mnapata wapi muda wa kudeal na issues kama hiz?
MyCountry
Hta hili la uzembe na uzururaji nalo litabuma. Huyo mkuu wa wilaya ni mjinga sana. Tena sana.Wanapofikishwa mahakamani hufunguliwa kesi ya "Uzembe na uzururaji"; maana Ukahaba si kosa la jinai.
www.itv.co.tz
Acha uchokoziVijana kwa wazee, wote wanasimama na dada poa, hadi raha.....
#freedadapoa #freezeutamu
madada poa (makahaba) walikuwepo toka enzi za kwenye biblia. Tafuta habari ya Kahaba Rahabu kwenye biblia, au habari ya mwanamke aliyetaka kuuliwa kwa kupigwa mawe sababu ya uzinzi lakini akaokolewa na Yesu.Mnaompinga Dc mnaona kakosea kwan wote walokamatwa sio madada poa? Hii Nchi tulisha kosea kuilekebiasha zaman tunakoelekea mashoga, madadapoa litakua jambo la kawaida kama kwa wazungu