Hivi mlianzaje biashara zenu, mbona wengine tunakwama?

Au ulikuwa unaamini kwenye maombi? Kwasababu kwa akili ya kawaida huwezi kufungua biashara bila kamati ya ufundi kuhusika
 
Aisee biashara inahitaji moyo,nakumbuka mwanzo nliteketeza mil 10,nikaokoa laki 4 pekee. Sito sahau. Lakini hatimaye nilianza upya baada ya muda kidogo
Natamani kujua zaidi ilikuwaje mkuu
 
Mada mbili tofauti kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Corona ilinifanya nipoteze zaidi ya mil 300,baada ya hapo nikayumba sana nusu ya kuwa chizi maana sikuwa na assets yoyote itakayonisaidia ku compasate mpaka sasa naunga unga tu ila kwa mitego niliyotega mwaka huu inshallah nitapiga hatua flan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…