Hivi Mlimani City kuna UPAKO WA KIINGEREZA?

nahulika elo, ila nadhani wale mademu wa kizungu wanaovaa vikaptura ndo wanakuchanganya. Hata ukisikia mtu anasema 'mzima' unasikia kama kasema 'missing you' πŸ˜€πŸ˜€
Ukoligwe kalumbu.
 
hahaaaaaaaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…