Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umemaliza mkuu nilisubiri hii comment miezi yote hiyo jamaa kamkumbuka mke wake isitoshe alikuwa anapewa kila siku sasa leo wamemtenga kwa miezi yote hiyoAtakuwa kammiss mkewe
MmemzinguaTumejaribu kumuuliza nini shida anadai yupo sawa na majibu yake ni yamkato kuonyesha anahasira Fulani. Hii kazi imebakisha miezi mitatu lakini furaha iliyokuwepo mwanzo imetoweka kwani hatujui mwenzetu nini kimemkuta.
Mnaishije na watu wa aina hii na ukizingatia ni mwanaume baba mwenye familia yake kabisa?
Wewe tako la mwanamke mwenzio la nini?Mambo mrembo! Hilo wowowo kwenye profile ni lako?
Upo je ya madaMambo mrembo! Hilo wowowo kwenye profile ni lako?
Cute bebz hiyo picha ndio ww😋 au jirani yko🥶Ameachwa na mmoja wenu
Amezimia kuligusagusa hilo tako lakoUpo je ya mada
Ingekuwa ni demu ningesema Period inamchanganya.Wakuu salaam kwenu. Imebidi niombe maoni yenu kwani Kuna tabia za ajabu ambazo kuishi nazo yataka moyo.
Tumepiga kambi kwa kazi Fulani ya miezi sita Mimi na jamaa zangu watano,hivyo tupo jumla watu sita, wote wanaume.
Tunaishi maisha ya furaha kama marafiki au niseme ndugu kwani hakuna mwenye tatizo na mwenzake. Wiki mbili zilizopita mwenzetu mmoja kaanza Kununa haongei na wenzake kama zamani.
Salamu ni mpaka umuanze ndo atakujibu Kisha anaendelea na mambo yake.Hii Hali imetusumbua sana kwani hatukuzoea kumwona akiwa hivyo.
Tumejaribu kumuuliza nini shida anadai yupo sawa na majibu yake ni yamkato kuonyesha anahasira Fulani. Hii kazi imebakisha miezi mitatu lakini furaha iliyokuwepo mwanzo imetoweka kwani hatujui mwenzetu nini kimemkuta.
Mnaishije na watu wa aina hii na ukizingatia ni mwanaume baba mwenye familia yake kabisa?
Dume hili hii comment ndio imejionyesha hili lina mambupu.Pamoja na uzuri wangu wote sijawahi kujifanya hivyo
Last yearCute bebz hiyo picha ndio ww😋 au jirani yko🥶
Last yearCute bebz hiyo picha ndio ww😋 au jirani yko🥶
What do u mean😃Last year
Nilipga lastyrWhat do u mean😃
Aaaah siyo poa😋Nilipga lastyr
Wewe ni mrembo sana.Upo je ya mada
huyo ana ugonjwa unaitwa SONONA (Depression), hiyo nuna nuna (dysphoria) ni moja ya dalili kuu, anahitaji msaada 😀Wakuu salaam kwenu. Imebidi niombe maoni yenu kwani Kuna tabia za ajabu ambazo kuishi nazo yataka moyo.
Tumepiga kambi kwa kazi Fulani ya miezi sita Mimi na jamaa zangu watano,hivyo tupo jumla watu sita, wote wanaume.
Tunaishi maisha ya furaha kama marafiki au niseme ndugu kwani hakuna mwenye tatizo na mwenzake. Wiki mbili zilizopita mwenzetu mmoja kaanza Kununa haongei na wenzake kama zamani.
Salamu ni mpaka umuanze ndo atakujibu Kisha anaendelea na mambo yake.Hii Hali imetusumbua sana kwani hatukuzoea kumwona akiwa hivyo.
Tumejaribu kumuuliza nini shida anadai yupo sawa na majibu yake ni yamkato kuonyesha anahasira Fulani. Hii kazi imebakisha miezi mitatu lakini furaha iliyokuwepo mwanzo imetoweka kwani hatujui mwenzetu nini kimemkuta.
Mnaishije na watu wa aina hii na ukizingatia ni mwanaume baba mwenye familia yake kabisa?