Hivi mnaoangalia au kupenda movies mnapata raha gani?

Hivi mnaoangalia au kupenda movies mnapata raha gani?

Kuna swala la hobby, ukiona kila ukiangalia movie hufurahii basi jua kuwa siyo hobby yako maana ungekuwa na hiyo hobby ungetafuta kitu moja nzuri uangalie na kufurahia. Binafsi movie ni moja ya hobby yangu na nafurahia mnoo hasa kama ni genre ninayoikubali.
 
Asee movies Ni hobby yangu tokea zamani sana.
Nachopendelea movies za majuu
1.idea ya filamu na wazo kuu mfano angalia movie ya saw kuanzia sehemu ya kwanza
2.wahusika wanavaa uhusika kisawasawa mfano refer Matt Damon wa movies sequel za Jason Bourne , Pamoja na John crammer wa the saw
3.wapiga pichà (cinematographers) wanajua kucheza na angle za kupiga picha,na hisia za mtazamaji yaani wanapiga picha kumshirikisha mtazamaji nawe awe sehemu ya tukio
4.mandhari ya movie na YENYEWE ni kigezo kwanini napenda movie za majuu .ma producer wako tayari kutumia kiasi chochote kile cha pesa katika kutafuta mandhari .
Mfano madmax fury ya 2015 yale mandhari ya jangwani ilikuwa ni jangwa la Kalahari namibia na Australia.unaweza kuvuta picha ni kiasi gani walitumia kutengeneza mandhari.
5.movie za majuu kwanza zipo dynamic Sana kwenye swala la dhamira katika maisha yetu.mfano vita,utumwa ,usaliti, mauaji, madawa ya kulevya na magonjwa
Kwa mfano filamu ya CONTAGION ya 2013 Kama sikosei inazungumzia world pandemic ya Corona virus
6.sound effect na sound track zimekaa poa sana tofauti na za kwetu ,kama ni sehemu ya huzuni lazima sound track itaendana ,kama Ni battle lazima ziendane...
Na mengine kibao.tu
Sasa mtu mwingine anakuja humu ana dis kuhusu kuangalia filamu binafsi ninamuona kama punguani tu .
Kila mmoja hupenda kufanya kile anachotaka as long as havunji kanuni na taratibu za kisheria za kijamii.
We bwege SAW sio poa kumbe tuko wengi wazee wa horror movies SAW NA WRONG TURN sio vitu vya mchezo ukiangalia unaisi na wewe umo ktk show BOEING 757 nakukubali kwa kunikumbusha ila SAW sehemu ya 3 yule dada aliteseka pale mwanzoni kwa kukatwa utumbo
 
Sijui kama ni mimi au kuna wengine tunaoona movies ni kama michezo ya kitoto au watoto wadogo.

Mimi akili yangu imegoma kabisa kuzielewa movies. Hata nikiangalia baadae sikumbuki nilikua naangalia kitu gani. Naona kama ni childish sana.

Nimejitahidi kuangalia movies lakini wapi akili yangu imegoma kuzielewa au kuelewa kama movies ni kitu chenye maana yoyote.

Yaani nikianza kuangalia tu nadharau pale pale naona kama ni mambo ya kijinga na ya kitoto naangalia.

Mnaoangalia nyie mnapata raha gani? Na mnaelewa nini kwenye movies?
Kuna movies nyingine hazina mvuto.

Usijilazimishe kuangalia.

Lakini pia, ni vigumu mtu kujosa movie yoyote itakayomvutia.

Kuna watu wengine wana matatizo ya kisaikolojia kama Attention Deficit Disorder (ADD). Ambapo mtu hawezi kufuatikia kitu kwa muda wa zaidi ya dakika chache.

Kama huwezi kufuatikia movie yoyote, pengine inawezekana uka wa na matatizo hayo pia.

Tafuta ushauri wa wataalamu.
 
Asee movies Ni hobby yangu tokea zamani sana.
Nachopendelea movies za majuu
1.idea ya filamu na wazo kuu mfano angalia movie ya saw kuanzia sehemu ya kwanza
2.wahusika wanavaa uhusika kisawasawa mfano refer Matt Damon wa movies sequel za Jason Bourne , Pamoja na John crammer wa the saw
3.wapiga pichà (cinematographers) wanajua kucheza na angle za kupiga picha,na hisia za mtazamaji yaani wanapiga picha kumshirikisha mtazamaji nawe awe sehemu ya tukio
4.mandhari ya movie na YENYEWE ni kigezo kwanini napenda movie za majuu .ma producer wako tayari kutumia kiasi chochote kile cha pesa katika kutafuta mandhari .
Mfano madmax fury ya 2015 yale mandhari ya jangwani ilikuwa ni jangwa la Kalahari namibia na Australia.unaweza kuvuta picha ni kiasi gani walitumia kutengeneza mandhari.
5.movie za majuu kwanza zipo dynamic Sana kwenye swala la dhamira katika maisha yetu.mfano vita,utumwa ,usaliti, mauaji, madawa ya kulevya na magonjwa
Kwa mfano filamu ya CONTAGION ya 2013 Kama sikosei inazungumzia world pandemic ya Corona virus
6.sound effect na sound track zimekaa poa sana tofauti na za kwetu ,kama ni sehemu ya huzuni lazima sound track itaendana ,kama Ni battle lazima ziendane...
Na mengine kibao.tu
Sasa mtu mwingine anakuja humu ana dis kuhusu kuangalia filamu binafsi ninamuona kama punguani tu .
Kila mmoja hupenda kufanya kile anachotaka as long as havunji kanuni na taratibu za kisheria za kijamii.
Ila usimlamu jamaa labda aliangalia jini kabula or nsuka ila kqki
 
Wewe uko kama mimi, sijui kwanini sina interest kabisa na siyo movie tu hata mpira sipendi kabisa.
Sijui kama ni mimi au kuna wengine tunaoona movies ni kama michezo ya kitoto au watoto wadogo.

Mimi akili yangu imegoma kabisa kuzielewa movies. Hata nikiangalia baadae sikumbuki nilikua naangalia kitu gani. Naona kama ni childish sana.

Nimejitahidi kuangalia movies lakini wapi akili yangu imegoma kuzielewa au kuelewa kama movies ni kitu chenye maana yoyote.

Yaani nikianza kuangalia tu nadharau pale pale naona kama ni mambo ya kijinga na ya kitoto naangalia.

Mnaoangalia nyie mnapata raha gani? Na mnaelewa nini kwenye movies?
 
Kuna movies nyingine hazina mvuto.

Usijilazimishe kuangalia.

Lakini pia, ni vigumu mtu kujosa movie yoyote itakayomvutia.

Kuna watu wengine wana matatizo ya kisaikolojia kama Attention Deficit Disorder (ADD). Ambapo mtu hawezi kufuatikia kitu kwa muda wa zaidi ya dakika chache.

Kama huwezi kufuatikia movie yoyote, pengine inawezekana uka wa na matatizo hayo pia.

Tafuta ushauri wa wataalamu.
Mkuu nitafte wataalamu wanisaidie ili tu niweze kuangalia movie? Ama sijakuelewa kiongozi.
 
Huyu bwana yani haina yoyote ile ya movie, season, yeye hangalii una matatizo
 
Bongo muvi zimeharibu ubongo wako wa kuenjoy sanaa ya filamu, pole .
 
Mkuu kwani kujua kama sina interest na kitu flani au vitu flani lazima nifanye mtihani wa saikolojia?
Naona unashindwa hata kufuatilia na kujua ninajadili matatizo ya akili na si interest ya movie.

Una uwezo wa kufuatilia majadiliano kimantiki?

Au matatizo yaleyale yanayokufanya usiwe na interest na movie yanakufanya ushindwe kufuatilia majadiliano kimantiki?
 
Back
Top Bottom