Hivi mnaoangalia au kupenda movies mnapata raha gani?

Hivi mnaoangalia au kupenda movies mnapata raha gani?

Unakosa mengi sana mkuu.
Katika vitu vinavyofanya vizuri kwenye entertainment industry ni movie.

Hebu angalia box office alafu uone movie zinavyoingiza faida hadi 7 trillion za kitanzania yaani USD 2.7 billion kwa movie moja ambapo ni utajiri wa MO ambaye ni tajiri namba moja Tanzania lakini fanya mara mbili.

Nenda kacheck hii kitu inaitwa "inception" ambayo bila shaka siyo ya kitoto, kama ukiona ya kitoto basi utakuwa na definition yako ya neno "utoto".
 
Asee movies Ni hobby yangu tokea zamani sana.
Nachopendelea movies za majuu
1.idea ya filamu na wazo kuu mfano angalia movie ya saw kuanzia sehemu ya kwanza
2.wahusika wanavaa uhusika kisawasawa mfano refer Matt Damon wa movies sequel za Jason Bourne , Pamoja na John crammer wa the saw
3.wapiga pichà (cinematographers) wanajua kucheza na angle za kupiga picha,na hisia za mtazamaji yaani wanapiga picha kumshirikisha mtazamaji nawe awe sehemu ya tukio
4.mandhari ya movie na YENYEWE ni kigezo kwanini napenda movie za majuu .ma producer wako tayari kutumia kiasi chochote kile cha pesa katika kutafuta mandhari .
Mfano madmax fury ya 2015 yale mandhari ya jangwani ilikuwa ni jangwa la Kalahari namibia na Australia.unaweza kuvuta picha ni kiasi gani walitumia kutengeneza mandhari.
5.movie za majuu kwanza zipo dynamic Sana kwenye swala la dhamira katika maisha yetu.mfano vita,utumwa ,usaliti, mauaji, madawa ya kulevya na magonjwa
Kwa mfano filamu ya CONTAGION ya 2013 Kama sikosei inazungumzia world pandemic ya Corona virus
6.sound effect na sound track zimekaa poa sana tofauti na za kwetu ,kama ni sehemu ya huzuni lazima sound track itaendana ,kama Ni battle lazima ziendane...
Na mengine kibao.tu
Sasa mtu mwingine anakuja humu ana dis kuhusu kuangalia filamu binafsi ninamuona kama punguani tu .
Kila mmoja hupenda kufanya kile anachotaka as long as havunji kanuni na taratibu za kisheria za kijamii.
We jamaa mkali, hajawai angalia movie akiwa amekaa halafu inamvutia mpk anasimama Kama vile Messi Yuko kwenye 18,sijui Kama ameshaangalia Fugitive ya Harrison Ford, au The Good The bad and Ugly ya Bingwa Clint Eastwood, ukiwa unangalia hizo umeshika glass omba umeme usikatike, unaweza piga glas kwenye TV
 
We bwege SAW sio poa kumbe tuko wengi wazee wa horror movies SAW NA WRONG TURN sio vitu vya mchezo ukiangalia unaisi na wewe umo ktk show BOEING 757 nakukubali kwa kunikumbusha ila SAW sehemu ya 3 yule dada aliteseka pale mwanzoni kwa kukatwa utumbo
Saw,Wrong turn, Silver Bullet(hii hakuna alishaiona humu)[emoji23],final destination,kitu Jeepers creepers,najua Kuna atakaekuwa you tube kuzicheki Ni balaa
 
Saw,Wrong turn, Silver Bullet(hii hakuna alishaiona humu)[emoji23],final destination,kitu Jeepers creepers,najua Kuna atakaekuwa you tube kuzicheki Ni balaa

Jeepers creepers ni balaa ile soundtrack yake ni crazy aisee
 
Sijui kama ni mimi au kuna wengine tunaoona movies ni kama michezo ya kitoto au watoto wadogo.

Mimi akili yangu imegoma kabisa kuzielewa movies. Hata nikiangalia baadae sikumbuki nilikua naangalia kitu gani. Naona kama ni childish sana.

Nimejitahidi kuangalia movies lakini wapi akili yangu imegoma kuzielewa au kuelewa kama movies ni kitu chenye maana yoyote.

Yaani nikianza kuangalia tu nadharau pale pale naona kama ni mambo ya kijinga na ya kitoto naangalia.

Mnaoangalia nyie mnapata raha gani? Na mnaelewa nini kwenye movies?
Wapenda Pornography wameamua kujionesha live bila chenga
 
Sijui kama ni mimi au kuna wengine tunaoona movies ni kama michezo ya kitoto au watoto wadogo.

Mimi akili yangu imegoma kabisa kuzielewa movies. Hata nikiangalia baadae sikumbuki nilikua naangalia kitu gani. Naona kama ni childish sana.

Nimejitahidi kuangalia movies lakini wapi akili yangu imegoma kuzielewa au kuelewa kama movies ni kitu chenye maana yoyote.

Yaani nikianza kuangalia tu nadharau pale pale naona kama ni mambo ya kijinga na ya kitoto naangalia.

Mnaoangalia nyie mnapata raha gani? Na mnaelewa nini kwenye movies?
Kila mtu Kuna kitu anapenda so pengine hujaumbwa kupenda movie

Fanya unachopenda ufurahie Dunia[emoji3590]
 
Sijui kama ni mimi au kuna wengine tunaoona movies ni kama michezo ya kitoto au watoto wadogo.

Mimi akili yangu imegoma kabisa kuzielewa movies. Hata nikiangalia baadae sikumbuki nilikua naangalia kitu gani. Naona kama ni childish sana.

Nimejitahidi kuangalia movies lakini wapi akili yangu imegoma kuzielewa au kuelewa kama movies ni kitu chenye maana yoyote.

Yaani nikianza kuangalia tu nadharau pale pale naona kama ni mambo ya kijinga na ya kitoto naangalia.

Mnaoangalia nyie mnapata raha gani? Na mnaelewa nini kwenye movies?
Movie, animation,michezo yote ya ngumi and documetary ni vitu navyopenda kabisa movie inaraha yake mkuu soundtrack imetulia video bomba
Story yenye kueleweka matukio yalivyo kwa mpangalio hadi uelewi next nini kitafuata

Kuna aina za movie

Scifi : hizi zimejaa science fiction nyingi yaan vitu vya kufirika unakuta kuna time travel kama ile tenet na the avengers hizi unaweza elewa tecknojia kwa kias flan

Action: hizi zimejaa ngumi sana hujatulia huyu kala mtama sometimes sisi mamovier tunatamani tuwe kama akina donn yen,jai white

By the way movie make us feel good wikiend namalizana na akina liam nelson
 
Back
Top Bottom