Hivi mnaoshinda JF huwa mnakuwa mnafanya nini?

Hivi mnaoshinda JF huwa mnakuwa mnafanya nini?

hermanthegreat

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2021
Posts
1,274
Reaction score
3,282
Yaani kila nikiingia jf nakuta no updates, au update chache,
Lakini cha kushangaza kuna watu sio mods ila mda wowote ukiwatag tu wanakuja.

Wakuu labda sijajua jinsi ya kuitumia jf, maana taarifa au post mpya ni chache mno na wanaopost ni walewale.

Nikikaa masaa mawaili tu nimeshamaliza kupitia karibia threads zote mpya.

Sasa nyie mnaoshinda humu jf huwa kuna kipi kingine mnachofanya?
 
Yaani kila nikiingia jf nakuta no updates, au update chache,
Lakini cha kushangaza kuna watu sio mods ila mda wowote ukiwatag tu wanakuja.

Wakuu labda sijajua jinsi ya kuitumia jf, maana taarifa au post mpya ni chache mno na wanaopost ni walewale.

Nikikaa masaa mawaili tu nimeshamaliza kupitia karibia threads zote mpya.

Sasa nyie mnaoshinda humu jf huwa kuna kipi kingine mnachofanya?
Sisi ni walinzi,hivyo tunakuwa tupo lindoni🏋🏋🏋
 
Sasa wewe ambaye unacho cha kufanya,unajuaje kama wapo mda wote? Huenda huo mda huo wa kuchungulia na kusoma, na wao ndo hivo wanao huo huo wa kupost. Lakini pia,kutokuwepo kwako huenda chanzo kikawa uhaba wa bando. Na ujue wengine wanazo 24h/7
 
Kuna watu wanafanya kazi aidha madukani hawa muda wanao wakutosha,Kuna night shifts mara nyingi hawa pia hupata muda wakuchati... Wengine kazi zao mitandao so Kila muda data zipo on ni rahisi kuwa active jf.. mkuu na hili tukufundishe...?
 
Yaani kila nikiingia jf nakuta no updates, au update chache,
Lakini cha kushangaza kuna watu sio mods ila mda wowote ukiwatag tu wanakuja.

Wakuu labda sijajua jinsi ya kuitumia jf, maana taarifa au post mpya ni chache mno na wanaopost ni walewale.

Nikikaa masaa mawaili tu nimeshamaliza kupitia karibia threads zote mpya.

Sasa nyie mnaoshinda humu jf huwa kuna kipi kingine mnachofanya?
Pole sana sisi wengine ni walinda maudhui ya mtandaoni 24/7 hautukosi humu ukiyakanyaga tuu tunakufata hadi hapo ulipo...(joking) usichukulie serious hii comment yangu.
 
Back
Top Bottom