Melki Wamatukio JF-Expert Member Joined May 3, 2022 Posts 6,156 Reaction score 10,974 Oct 18, 2023 #181 Wengine tunalelewa. Hivyo muda wote tupo jikoni tunapika huku simu zetu zikiwa beneti[emoji23][emoji23] (Jokes)
Wengine tunalelewa. Hivyo muda wote tupo jikoni tunapika huku simu zetu zikiwa beneti[emoji23][emoji23] (Jokes)
Ndege Tai JF-Expert Member Joined May 6, 2020 Posts 4,439 Reaction score 8,184 Oct 18, 2023 #182 KENZY said: Kuna watu wanafanya kazi aidha madukani hawa muda wanao wakutosha,Kuna night shifts mara nyingi hawa pia hupata muda wakuchati... Wengine kazi zao mitandao so Kila muda data zipo on ni rahisi kuwa active jf.. mkuu na hili tukufundishe...? Click to expand... Ujamuambia kuna watu wa usalama pia wanafuatilia nyuzi kila wakati
KENZY said: Kuna watu wanafanya kazi aidha madukani hawa muda wanao wakutosha,Kuna night shifts mara nyingi hawa pia hupata muda wakuchati... Wengine kazi zao mitandao so Kila muda data zipo on ni rahisi kuwa active jf.. mkuu na hili tukufundishe...? Click to expand... Ujamuambia kuna watu wa usalama pia wanafuatilia nyuzi kila wakati
Intelligent businessman JF-Expert Member Joined Sep 6, 2022 Posts 31,913 Reaction score 65,514 Oct 19, 2023 #183 mshamba_hachekwi said: nipe kibarua nitulie Click to expand... Poor Brain Aki kupa Kibarua, mi naji nyonga😂😂😂. 👉 Yuko radhi Aki unge bando la mwezi😂
mshamba_hachekwi said: nipe kibarua nitulie Click to expand... Poor Brain Aki kupa Kibarua, mi naji nyonga😂😂😂. 👉 Yuko radhi Aki unge bando la mwezi😂
C Covax JF-Expert Member Joined Feb 15, 2021 Posts 10,198 Reaction score 35,323 Oct 19, 2023 #184 Ndege Tai said: Ujamuambia kuna watu wa usalama pia wanafuatilia nyuzi kila wakati Click to expand... @mulwanaka kumbe
Ndege Tai said: Ujamuambia kuna watu wa usalama pia wanafuatilia nyuzi kila wakati Click to expand... @mulwanaka kumbe