Hivi mnaoshinda JF huwa mnakuwa mnafanya nini?

Hivi mnaoshinda JF huwa mnakuwa mnafanya nini?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] naye mzururaji mwenzetu yeye kajuaje km tupo active muda wote
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] huna majukumu weyeeee, ndo maana Una swampaaaa!!
 
Humu jf?? Humu tupo vikongwe nyonyo inasimama tukiinama kupiga deki [emoji23][emoji23][emoji23]
Hao nyonyo saa Sita subiria first year hapo MUST au nenda TEKU
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wengine ni wahariri na machawa so lazma wawe active na harufu ya joto.
 
Back
Top Bottom